Sheikh Ponda augua rumande

Sheikh Ponda augua rumande

Get well soon ustaz Ponda! but next time usichezee tena mfumo.......,
 
Laana ya kuchoma makanisa imeanza kumtafuna.
 
Chamsingi tumwombee kwa mungu apone ili aweze kukabiliana na mashtaka yanayo mkabili NO MERCY ON THAT.
 
Hivi hajafa tu?alizani kuchoma makanisa ni sifa!
 
Du itabidi hawa jamaa waandamane tena ijumaa ngoja nikanunue mahitaji yangu mapema Kariakoo maana wanatageti strategic areas tu basi
 
Pole kwake,inshallah mwenyezi Mungu atamfanyia wepesi!
 
Chamsingi tumwombee kwa mungu apone ili aweze kukabiliana na mashtaka yanayo mkabili NO MERCY ON THAT.

his fellower has to take that responsibility better to pray for those whoa admitted in the hospital not that chips bowl
 
Hivi hajafa tu?alizani kuchoma makanisa ni sifa!


Acha ujinga wewe utaelimika lini?Kama una uhakika alichoma kanisa lolote kamfungulie mashtaka polisi, Yupo gerezani kwa kosa la mgogoro wa ardhi hilo la kuchoma kanisa ulishirikiana naye?


GET WELL SOON SHEIKH! Mwenyezi mungu akujaalie upone haraka.
 
Si nimesikia kuna SANGOMA kakamatwa mahakamani, ndio alikuwa anakwenda kumfanyia dawa nini?

Kama kweli wanaaabudu Mungu, na wambombee, habari za sangoma za nini.

Vipi Fareed hajaanza kuumwa, au Zanzibar hakuna mbu wa kutosha?
 
afya yake tu ilikua inaonekana mgogoro tangu mapema..
 
Mbona hapo ni Rumande? ikitoka Hukumu ndio tutasemaje mbona babu Seya hajalalamika, au ni Gia la kuwatuma wafuasi wake waingie Christmass barabarani
 
next time hatuendi kuandamana ila haki tutaifuata pale kwenye kanisa kuu la st joseph kisha tuone kama selikali ina ubavu wa kuwapiga mabomu maaskofu !
Allah akupe nguvu shekh wetu mapambano ndo yanaanza. Hapakaliki mpaka tujue hatma ya mali za waislamu nchini. wewe pambana nao mahakamani sisi tuta...
 
Back
Top Bottom