Sheikh Ponda augua rumande

Sheikh Ponda augua rumande

QUOTE=kaachonjo;5258274]next time hatuendi kuandamana ila haki tutaifuata pale kwenye kanisa kuu la st joseph kisha tuone kama selikali ina ubavu wa kuwapiga mabomu maaskofu !
Allah akupe nguvu shekh wetu mapambano ndo yanaanza. Hapakaliki mpaka tujue hatma ya mali za waislamu nchini. wewe pambana nao mahakamani sisi tuta...[/QUOTE]
Jaman sasa Maaskofu wanahusika vipi na kesi ya Shekhe Ponda?! Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni
 
QUOTE=kaachonjo;5258274]next time hatuendi kuandamana ila haki tutaifuata pale kwenye kanisa kuu la st joseph kisha tuone kama selikali ina ubavu wa kuwapiga mabomu maaskofu !
Allah akupe nguvu shekh wetu mapambano ndo yanaanza. Hapakaliki mpaka tujue hatma ya mali za waislamu nchini. wewe pambana nao mahakamani sisi tuta...[/QUOTE]
Jaman sasa Maaskofu wanahusika vipi na kesi ya Shekhe Ponda?! Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni
 
next time hatuendi kuandamana ila haki tutaifuata pale kwenye kanisa kuu la st joseph kisha tuone kama selikali ina ubavu wa kuwapiga mabomu maaskofu !
Allah akupe nguvu shekh wetu mapambano ndo yanaanza. Hapakaliki mpaka tujue hatma ya mali za waislamu nchini. wewe pambana nao mahakamani sisi tuta...

Sasa Maaskofu wanahusika vipi na kesi ya ponda. Mungu akujalie kidogo uwezo wa kufikiri.
 
Bado ww unaonekana ni muhamasishaji wa vurugu kwenye madai yenu
badala ya kutumia akili na sheria zilizopo, endeleza huo ubwege ila siku
yako inakuja!!!!!!!!
 
tatizo la watanzania. Wamezoea kuwaabudu viongozi wa dola na watiifu wa sheria hata kama zinawadhurumu na kuwakandamiza. Sheria zinazodhoofisha uhuru wa kusema dhuruma ili iondolewe. Haya yote ndiyo tuliyoyarithi kutoka kwa nyerere. ZIDUMU FIKRA ZA MWENYEKITI WA CHAMA !!!
 
Hana faida yoyote kwa watanzania!!
Wewe ndio unayo?

Sheikh tupo nawe katika duaa zetu.
Hakuna mchaMungu akose mitihani.
Pepo ni ngumu....
Wafuasi wa paulo mbona wanamtukuza wakitaraji pepo...sijui pepo itatolewa na nan?
 
next time hatuendi kuandamana ila haki tutaifuata pale kwenye kanisa kuu la st joseph kisha tuone kama selikali ina ubavu wa kuwapiga mabomu maaskofu !
Allah akupe nguvu shekh wetu mapambano ndo yanaanza. Hapakaliki mpaka tujue hatma ya mali za waislamu nchini. wewe pambana nao mahakamani sisi tuta...
tutapambana nyuma ya computer....
 
Enye wanadamu,shetani asiwatieni katika fitina,kama alivyowatoa baba zenu katika bustani kwa kuwavua nguo zao ili kuwaonyesha aibu zao."inshaallah, Ponda unapondwa huko unashindwa kuandamana jela au ona sasa utaja fia huko malipo hapahapa duniani.
 
ishu za udini tusizipe nafasi! sisi watanzania tu ndugu! tudumishe upendo na udugu...
 
next time hatuendi kuandamana ila haki tutaifuata pale kwenye kanisa kuu la st joseph kisha tuone kama selikali ina ubavu wa kuwapiga mabomu maaskofu !
Allah akupe nguvu shekh wetu mapambano ndo yanaanza. Hapakaliki mpaka tujue hatma ya mali za waislamu nchini. wewe pambana nao mahakamani sisi tuta...
usimchombeze mwenzio wewe upo nje unakula ugali mzuri halafu unamwambia tuko pamoja nawe.
 
Si nimesikia kuna SANGOMA kakamatwa mahakamani, ndio alikuwa anakwenda kumfanyia dawa nini?

Kama kweli wanaaabudu Mungu, na wambombee, habari za sangoma za nini.

Vipi Fareed hajaanza kuumwa, au Zanzibar hakuna mbu wa kutosha?

WATU WANAOPINGANA NA MAANDIKO YA VITABU WANAVYOVIFUATA. ETI NAYE HUYU MKIRISTO. KUMBUKENI MUNGU HATANIWI

"Usijifanyie sanamu ya kuchonga, mfano wa kitu chochote kilicho juu mbinguni, au kilicho chini
duniani. Usivisujudie wala
kuvitumikia; kwa kuwa mimi
BWANA, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu, nawapatiliza wana uovu wa baba zao; hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao". (Kumbukumbu la Torati 5:8-9).

"Ibada ya (ubatizo) kutosa mwili majini ni mfano wa utakaso au wakujitengeneza upya. Ibada kama hiyo ilijulikana na kutendeka katika dini za kale za
Kipagani na dini ya Kiyahudi pia (kama ubatizo wa waongofu Mdo 2:10; Waesseni)'. (Tazama Biblia
ya Wakatoliki, Imprimatur M.
Mihayo Archbishop of Tabora, February, 1967, kwenye maelezo ya Mathayo 3:6 uk. 879).
"Kwa maana katika Roho mmoja sisi sote tulibatizwa kuwa mwili mmoja, kwamba tu Wayahudi, au kwamba tu Wayunani; ikiwa tu watumwa au ikiwa tu huru, nasi sote tulinyweshwa Roho mmoja". (1Wakoritho 12:13).
 
Let him learn the lesson.

GOD is punishing him for the SOUL losted.
 
Back
Top Bottom