Du itabidi hawa jamaa waandamane tena ijumaa ngoja nikanunue mahitaji yangu mapema Kariakoo maana wanatageti strategic areas tu basi
Fanya yote kuchoma nyumba ya ibada ni kitu kingine,sio kanisa,misikiti na matemples.waumini wakiomba tu laana inakufika na ndo hayo tunayashuhudia kwa ponda.