Sheikh Ponda amezitoa wapi hizi takwimu?

Mpumbavu ni yule anayekashifu imani ya wengine
Staha na Uvumilivu ni mambo muhimu sana.
 
Kwenye red, ni dini gani mkuu? waarabu wako wakristo wengi tu, waislamu wengi tu, freemasons wengi tu, hapa ulikusudia dini ipi?
Asante kwa kunifanya nifikiri. My point is we should (as Africans) avoid descrimination amongst ourselves because of religion. Ni ulimbukeni wa kutupwa.
 
Hawa jamaa vikao vyao vitatutupeleka pabaya.watalamu wao wa mahesabu wajitazame upya
 
umechanganyikiwa ! Hujui ukristo ni dini au NGO !?
Mara Yesu mungu, mara mwana wa mungu, mara kafa, mara kafufuka, mara kapigwa, mara mungu ni watatu: yaani mmejichanganya mpaka mmechanganyikiwa !

Mkuu huwa unanifurahisha sana pale unapokomalia jambo usilojua, yani huwa nashindwa kujizuia kucheka. Post zako zote kushambulia ukristo ni vituko kwani hata mistari unayoquote sio yenyewe.

Ndo maana kuna siku ulikuja na bango kuwa Petro hakuwa kati ya wanafunzi wa Yesu. Biblia ukiitafsiri kwa kunyofoa mstari mmoja utachekesha. Sio novel au gazeti la udaku lile!

Ndo maana hakuna hata siku moja utanikuta naishambulia Kuruani kwani siijui na siko tayari kujivunjia heshima. Toka lini Bible ikatafsiriwa na Sheikh? Hiyo Bible knowledge alisomea madrasa? Get serious brother!
 
Kunywa divai hii na kula kate huu ! Divai hii ni damu ya Bwana na mkate huu ni mwili wa Bwana.
Akala mkate ule kuwa ni ishara ya kula mwili wa Bwana na akanywa ile divai kuwa ishara ya damu ya Bwana: kisha akasema; Aameeen

Hadithi hii umefundishwa na nani? Na inatufundisha nini? Mkuu umefaidi nini baada ya kusema hayo usiyoyajua? Hapo ulipotoa hiyo mistari nenda kasome ile sura nzima. Du, hata novel hazisomwi kiivo. I'm happy that i now understand where you belong!
 
Kijana abarikiwe kwani hajui afanyalo, nashangaa sana vijana masikini wa kutupwa ndo mashabiki na waleta fujo,hata uliko anzia uislam wenye nao ni wastaarabu. poor tanzania
 
Kimsingi suala la udini sio swala la kulifumbia macho mimi nadhani ikiwa kilamtu atasikilizwa kwa anachokitaka hii nchi itakua kichekesho, kwasababu wapo wengine watataka na kipengele cha wenye magari kiwepo kwenye sensa, kipengele cha wenye maguta (baiskel ya tairi tatu) kipengele cha wenye vimada na nyumba ndogo na mambo mengine meeeeeeeengi. lakini tujiulize ni kwa faida ya nanije ikiwa waislam ni wengi kuliko wakristo je ninini kifanyike? Ikiwa dini fulani inataka kujua idadi ya waumini wake nivyema ikaanda utaratibu wake bila kulazimisha attention ya dini na imani nyingine. Na kwa taarifa tu ikitokea kundi la watu likataka kipengele cha waenda kwa waganga nacho kiwepo je unadhani kuna kusanyiko la dini yoyote litakalozidi idadi ya hawa? Jee nao wakitaka nchi iendeshwe kwa misingi yao je kunausalama hapo? ​ikiwa tutataka kufanya mabo yenye maslahi kwa dini zetu ni vyema tukayafanya katika nyumba zetu za ibada kuliko kulazimisha yafanyike kitaifa.................
 

mimi hapo ndipo ninapo shangaa mkuu! .. wanadai tujihesabu wenyewe! haya shekh kaja na hizo takwimu wanahoji kazitoa wapi ...! ... hawa watu mimi siwaelewi kabisa ... kuongezwa kwa swali moja tu "je wewe ni dini gani..?! wanaleta mlolongo mrefuu sijui watapungukiwa na nini..?
 

angekuwa idd amini angeshamaliza kazi. Nikisema waliokaliwa na waarabu ni manunda na hayana shule ya kujipembua kwanza kabla ya kauli mnasema ni matusi. Sasa kama kiongozi yuko hivi wanaongozwa wakoje?
 
Hivi cheo cha usheikh amepewa na nani? Sheikh ponda ameishia darasa la ngapi?

Hivi huyu ni sheikh au muuni?

Ni hivyo vijisenti vya Waarabu vinawapumbafusha wanafumbia macho ukweli kwamba kwa Mwarabu Mwafrika ni mtumwa daima bila kujali wewe mwisilamu au si mwisilamu. Kulikuwa na Thread hapa JF kuhusu yule Msaudi alivyomfanzia Mwafrika hadi kumuua licha ya kuwa Mwislamu mwenzake ... au labda kwa sababu hiyo!
 
Si tayari takwimu zipo na anazo zinazoonyesha dini nyingine wapo asilimia 20 na dini moja ina zaidi ya asilimia 80? Sasa tunataka nini kingine? au haziamini takwimu zake mwenyewe? .....au ana hana uhakika kama hiyo zaidi ya asilimia themanini ni za zanzibar au upande mwingine?
 
Zanzibar wameanza na uamsho hautaishia huko. Hiki ni kidonda ndugu kinakuwa kama kimepona kinaibuka tena kunahitajika mnatibabu mazuri kukifanya kisirudi for ages (Tunahitaji Serikali Makini sana kudeal na vitu kama uamsho). Dini zisizojieneza kwa amani huwa zinatumia nguvu kuenezwa. Ikiruhusiwa kutumia dini na wakigundua ni wengi hata kwa asilimia moja then baada ya sensa madai yatageuka kuwa yafuatayo na wakiwa wachache watasema wamechakachuliwa

(1) chuo kikuu idadi yao iongezwe
(2) wafanyakazi wa serikali na makampuni binafsi idadi iwe ratio sawa as per sensa
(3) Mawaziri uwiano uwe sawa na wa sensa
(4) vazi la taifa liwe kanzu na kibandiko
(5) misikiti makazini
(6) Ijumaa school iingie katika mtaala

Ongezeeni hapo
 
Yaani umwombe Mungu Ufe kwa kukosa elimu,Waafrika bwana wakishapata elimu ya kuhamisha kutoka kwa wazungu tabu tupu..we babu yako alikuwa na degree ngapi...?
Kama unadhani ile ya juu zuu itakusaidia kutatua matatizo basi hata wanao wapeleke wakasome ila mkifeli msiilaumu NECTA! Babu yangu kwa wakati wake alikuwa na BSc. ya Kiafrica ambayo kwasasa haiwezi kutatua matatizo tunayokuwa nayo! Hafu huku ndo kuchanganya habari!!!! Asante kwa kusoma post yangu!!!!
 
Soma hapa 'Mungu' anaomba chakula:
" Basi walipokuwa hawajaamini kwa furaha, huku, wakistaajabu, aliwaambia, mna chakula chochote hapa ?? Wakampa kipande cha samaki wa kuokwa, akakitwaa akala mbele yao" Luka: 24: 41-43.

Mkuu unajichoresha. Ngoja nikueleweshe. Haya aliyasema baada ya kuona wanafunzi wake wana wasiwasi kama ndiye halisi. Hivo alikula mbele yao ili waamini kuwa si mzuka ila ni yeye halisi.
 
Ni waoga wa haki ! Kwani wamezoe kuchanganya haki na batili !
 
Mkuu unajichoresha. Ngoja nikueleweshe. Haya aliyasema baada ya kuona wanafunzi wake wana wasiwasi kama ndiye halisi. Hivo alikula mbele yao ili waamini kuwa si mzuka ila ni yeye halisi.
Ungetupiamo basi hiyo aya ! Kwani Mungu anahisi njaa ?
 

Kuna Wakinga matajiri hapo Kariakoo, hata majina hawajui kuandika !
 

7. Marufuku nguruwe,
8. Marufuku misalaba,
9. Marufuku magovi,
10. Marufuku pombe,
11. Marufuku riba,
12. Marufuku zinaa (rukhsa wake wanne)
13. Marufuku ufisadi !
 
Sikushangai mkuu, inawezekana haya unayasema kwa maelekezo ya majini maana ni ndugu zenu. Surat Al-Tawba 9:23.
umechemka !? Nabii Suleiman ana Kitabu chake, kinaitwa Wimbo ulio bora ! Bible ni ya nani !?
Wenye majini wako kwa mzee wa upako, anayatoa !
 



Kama nimemuelewa vizuri hapo kwenye RED anamaanisha 80% ya waislamu wote Tanzania hawatashiriki.Hana maana kuwa 80% ya watanzania ni waislamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…