Sheikh Ponda aachiwa Polisi kwa dhamana

assadsyria3

JF-Expert Member
Apr 9, 2013
6,904
4,050
Taarifa kutoka Polisi Sheikh Ponda kaachiwa kwa dhamana pamoja na kuwa hakukuwa na sababu ya kumnyima dhamana siku ya jana.

Ikumbukwe kuwa Jeshi la Polisi lilimtaka Sheikh Ponda ajisalimishe Polisi ndani ya siku 3, vinginevyo hatokuwa salama. Baada ya kupata wito wa Polisi, jana Sheikh Ponda aliripoti Kituo Kikuu cha Polisi, asindikizwa na jopo la wanasheria.

Sheikh Ponda alituhumiwa na Jeshi la Polisi kufanya uchochezi kwenye mkutano aliofanya na waandishi wa habari. Zaidi kuhusu mkutano huo soma => KARIAKOO, DAR: Polisi wavamia mkutano wa Sheikh Ponda, wakamata waandishi wa habari wawili baada ya kumkosa Ponda

---------
Sheikh Ponda released from police custody this evening, spokesperson of the Council of Islamic Organisations Sheikh Rajabu Katimba confirms.

Sheikh Ponda Ameachiwa huru jioni ya Leo kutoka Mahabusu. Sheikh Rajabu Katimba Msemaji wa Baraza la Taasisi za kislamu amethibitisha.

CHANZO: The Citizen
 
Sheikh Ponda released from police custody this evening, spokesperson of the Council of Islamic Organisations Sheikh Rajabu Katimba confirms.

Sheikh Ponda Ameachiwa huru jioni ya Leo kutoka Mahabusu. Sheikh Rajabu Katimba Msemaji wa Baraza la Taasisi za kislamu amethibitisha.

CHANZO: The Citizen
 
Huyo Ponda bila kupewa adhabu kali uchochezi (au kejeli) hawezi acha
Polisi wamekosea sana kumwachia
 
Utakufa na roho ya kishetani wewe. Nenda basi ukamkamate kama unaona polisi si chochote.
Huo ndio ukweli Ponda ni mchochezi aliye kubuhu
Akifuatiwa na Musa Kundecha, Mohammad Issa, Ally Basaleh na Suleiman Kilemile.
 
Back
Top Bottom