Siku yakimkuta mama au baba yako ndio utasema haki nimuhimu hats nape hakujuwa kama kunawatu hawataki haki wao ni madaraka tuHuyo Ponda bila kupewa adhabu kali uchochezi (au kejeli) hawezi acha
Polisi wamekosea sana kumwachia
Wewe unataka adhabu gani apewe.Huyo Ponda bila kupewa adhabu kali uchochezi (au kejeli) hawezi acha
Polisi wamekosea sana kumwachia
Taarifa kutoka Polisi Sheikh Ponda kaachiwa kwa dhamana pamoja na kuwa hakukuwa na sababu ya kumnyima dhamana siku ya jana.
Ikumbukwe kuwa Jeshi la Polisi lilimtaka Sheikh Ponda ajisalimishe Polisi ndani ya siku 3, vinginevyo hatokuwa salama. Baada ya kupata wito wa Polisi, jana Sheikh Ponda aliripoti Kituo Kikuu cha Polisi, asindikizwa na jopo la wanasheria.
Sheikh Ponda alituhumiwa na Jeshi la Polisi kufanya uchochezi kwenye mkutano aliofanya na waandishi wa habari. Zaidi kuhusu mkutano huo soma => KARIAKOO, DAR: Polisi wavamia mkutano wa Sheikh Ponda, wakamata waandishi wa habari wawili baada ya kumkosa Ponda
---------
Sheikh Ponda released from police custody this evening, spokesperson of the Council of Islamic Organisations Sheikh Rajabu Katimba confirms.
Sheikh Ponda Ameachiwa huru jioni ya Leo kutoka Mahabusu. Sheikh Rajabu Katimba Msemaji wa Baraza la Taasisi za kislamu amethibitisha.
CHANZO: The Citizen
Yaani anataka kukupangia cha kuandika na kuweka hapa jamaa puuzi sanaKuanzisha Uzi wako ruksa na kuweka title uipendayo ni ruksa!
Ulitamani huwe bwana Lazaro[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Huo ndio ukweli Ponda ni mchochezi aliye kubuhu
Huyo type nyingineHuyo Ponda bila kupewa adhabu kali uchochezi (au kejeli) hawezi acha
Polisi wamekosea sana kumwachia
Huo ndio ukweli Ponda ni mchochezi aliye kubuhu
Akifuatiwa na Musa Kundecha, Mohammad Issa, Ally Basaleh na Suleiman Kilemile.
Wazee wa kuviziaHiyo hapo juu nayo waiona ni hoja!! Du!
Mlichobakiza ni ukasuku tu kurudia maneno yaleyale mnayoyasikia kwa watu.
Tulijua wapo wasiojulikana wataumizwa kwa kuachiwa kwakeHuyo Ponda bila kupewa adhabu kali uchochezi (au kejeli) hawezi acha
Polisi wamekosea sana kumwachia
Aisee.....
Itabidi akatambike sasa kama alivyosema Wakili wake
Hakika unatambua mnachokiweza siku hiziWazee wa kuvizia
Tueleze tafsiri kamili ya neno mchochez mkuu
Huo ndio ukweli Ponda ni mchochezi aliye kubuhu
Akifuatiwa na Musa Kundecha, Mohammad Issa, Ally Basaleh na Suleiman Kilemile.