Sheikh Ponda aachiwa Polisi kwa dhamana

Sheikh Ponda aachiwa Polisi kwa dhamana

Ponda Fanya dini acha siasa
Huwezi kuitenganisha dini na siasa. Yaani hakuna mpaka unaoweza kuonesha kwamba hapa ndio dini inaishia,...sasa unaingia kwenye siasa, hakuna. Vyote vipo pamoja na vinafanywa na binadamu huyo huyo ambaye ana dini na anashiriki siasa vilevile.
 
Pondà ameachiwa leo Jumamosi jioni baada ya kushikiliwa na Jeshi hilo tangu jana Ijumaa asubuni akituhimiwa kutoa lugha za kichochezi katika mkutano wake na waandishi wa habari Jumatano iliyopita.

Akizungumza na Mwananchi, Msemaji wa Jumuiya hiyo, Sheikh Rajabu Katimba amesema: "Sheikh Ponda ameachiwa kwa dhamana na atatakiwa kuripoti tena polisi."

Awali, Kamanda wa Kanda hiyo, Lazaro Mambosasa aliliambia Mwananchi kwamba uchunguzi dhidi ya Ponda ulikuwa ukiendelea na kama ungekamilika angepewa dhamana.

"Upelelezi unaendelea na ukikamilika tutaangalia kama atapata dhamana au tutampeleka mahakamani," alisema Mambosasa kabla ya Sheikh Ponda kuachiwa.

Wakili wa Ponda, Profesa Abdallah Safari amesena: "Ni kweli Sheikh Pondà ameachiwa, ni lini atarudi tena sijajua ila sidhani kama watampeleka mahakamani."
pic+ponda.jpg
 
Ponda soma alama za nyakati we ulivyo jeruhiwa moro nani alikutetea zaidi ya familia yako na hao unao watetea si walikuwepo ?usitumike kama kiatu kupitia kwenye matope wewe ni mtu na heshima zako tena una kundi kubwa la watu fanya busara katika maamuzi yako.
 
Sheikh Rajabu Katimba Msemaji wa Baraza la Taasisi za kislamu amethibitisha.
Huyu ni Shekhe mahsusi wa Lowassa,na huwa hakosekani katika ziara zote za Lowassa za kisiasa,hapa naunganisha nukta
532933

Huyu shekhe ni uamsho na ndio maana lowassa anatetea uamsho
images

Katimba akiwa na wapambe wa Lowassa.
Hapa utaona siri iliofichika katika utatu huu wa Ponda+Lowassa+Katimba.Vyombo vya dola vinapaswa kuwa makini sana na watu kama hawa wanaofanya siasa huku wamejiicha kwenye mgongo wa dini
 
Jeshi la polisi ni kikundi cha kutekeleza amri za watawala kwa maslahi ya watawala.
 
Back
Top Bottom