Sheikh Ponda aachiwa huru

Sheikh Ponda aachiwa huru

Ulitupia Uzi mkuu kama wa mafish au coz pale ulinikonga sana na forecast yako.
Hapa kwa Ponda ulitumia vigezo gani mkuu

Mkuu sensor, kuhusu Ponda sikuupandisha Uzi bali nilichangia mada tu.

Ilionekana bayana kuwa Serikali ya CCM isingemuachia huru Ponda kabla ya Uchaguzi Mkuu, maana walijua angeweza kuwahamasisha Waislam wasiichague CCM kwa kuwa ilishindwa kuitekeleza ahadi yake ya kuwapa Waislam Mahakama ya Kadhi.

Ikumbukwe Ponda pamoja na wenzake walifanya zoezi la Sensor ya Taifa kuingia dasari kwa kuwaamasisha Waislam wasikubali kuhesabiwa na kweli baadhi yao hawakuhesabiwa, hivyo Serikali iliona wakimuachia kabla ya Uchaguzi anaweza kukumbusha mambo ya Mahakama ya Kadhi.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu sensor, kuhusu Ponda sikuupandisha Uzi bali nilichangia mada tu.

Ilionekana bayana kuwa Serikali ya CCM isingemuachia huru Ponda kabla ya Uchaguzi Mkuu, maana walijua angeweza kuwahamasisha Waislam wasiichague CCM kwa kuwa ilishindwa kuitekeleza ahadi yake ya kuwapa Waislam Mahakama ya Kadhi.

Ikumbukwe Ponda pamoja na wenzake walifanya zoezi la Sensor ya Taifa kuingia dasari kwa kuwaamasisha Waislam wasikubali kuhesabiwa na kweli baadhi yao hawakuhesabiwa, hivyo Serikali iliona wakimuachia kabla ya Uchaguzi anaweza kukumbusha mambo ya Mahakama ya Kadhi.

Asante sana, uko sahihi kabisa mkuu
 
Last edited by a moderator:
Huyu akileta chokochoko zake this time nikumpoteza..nchi uko serious mambo ya kufua dini baadae.
 
Hizi ni zama za Magufuli bhana, shekh Ponda rudi uraiani ule bata ubatani kama mwenzio shekh Kipozeo!... naimani atakuwa kakuandalia kiumbe aliyejaaliwa NEEMA ZA ALLAH!
 
bado uhamshoo , shekhe ponda fungua kesi ya kudai fidiaa wamekupotezea sana muda ,IPO siku dhuruma inayotendekaa na iliyotendekaa itakuwa kitendawili.
 
Khaa!! Na wamjulishe kabisa kuwa hizi ni zama za SASA KAZI TU. Habari ya kupiga domo imeisha kitambo sana 😎
 
Muda ambao amekaa huko mahabusu ni fundisho tosha.
 
Back
Top Bottom