Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
mwenyekiti wa taasisi ya Kiislam ya imam Bukhary , sheikh Khalifa Khamis amesema serikali ina weza kuendelea kuichunguza dawa hiyo huku mchuungaji akiendelea kutoa huduma hiyo kwani imeonyesha kuwasaidia wengi ''yule mchungaji ameonyesha nia ya kuwasaidia watu wapone na si kutaka kupata fedha hafanyi mambo yake kwa tamaa hivyo aachwe aendelee na shughuli zake'' alisema sheikh Khamisi
SOURCE:mwananchi.co.tz
SOURCE:mwananchi.co.tz