Sheikh Jongo bado ana mengi ya kujifunza

Sheikh Jongo bado ana mengi ya kujifunza

Status
Not open for further replies.
Chama nimekusoma hata namimi.

Ila tatizo la watu kama Jongo ni unafiki na kuendekeza njaaa

Ukweli wanaujua ila wanauuza for the sake of matumbo yao.

attachment.php
 
Mkuu Maalim Mohamed Said, nakuona "you are on it again!"

Kiukweli .... itakapofika, sio tuu nitahudhuria panapo majaaliwa, bali pia nitawashauri na ikibidi kujitolea kusaidia kuhakikisha linasakafiwa lote! hata ikibidi kwa marumaru, au granite, vinginevyo litaota miiba mikali ya ncha za sumu zitakazochomoza toka ndani, kwa sababu mwisho wa siku, hiyo sumu anayojitahidi sana kuipandikiza kwa matumaini kuwa utaishuhudia ikiota, kumea na kustawi na kuzaa matunda!, kamwe hili halilatokea!.

Wale wa kukaririshwa tuu kama ilmu ya madratul!, wameishawashtukia!.

Ila pia nimefurahi kusikia kumbe ilibidi alazwe na kutibiwa Mission Hospital!, mbona kulikuwa na Hospitali chungu nzima za wenyewe?!.

All and all, namalizia kwa kukueleza jinsi ninavyokukubali kipaji na uwezo wako wa sio tuu wa kutunga, bali hata kuhadithia kitu hata kama ni cha uongo na kutungwa tuu, huonekana kama ni ukweli!.

Big up for this!.

Thanks.

Pasco.
 
Duh Ustadhi wa Kariako karejea tena kivingine ingawa lengo lake ni lilelile kutufarakanisha waTanganyika.
 
Mkuu Maalim Mohamed Said, nakuona "you are on it again!"

Kiukweli .... itakapofika, sio tuu nitahudhuria panapo majaaliwa, bali pia nitawashauri na ikibidi kujitolea kusaidia kuhakikisha linasakafiwa lote! hata ikibidi kwa marumaru, au granite, vinginevyo litaota miiba mikali ya ncha za sumu zitakazochomoza toka ndani, kwa sababu mwisho wa siku, hiyo sumu anayojitahidi sana kuipandikiza kwa matumaini kuwa utaishuhudia ikiota, kumea na kustawi na kuzaa matunda!, kamwe hili halilatokea!.

Wale wa kukaririshwa tuu kama ilmu ya madratul!, wameishawashtukia!.

Ila pia nimefurahi kusikia kumbe ilibidi alazwe na kutibiwa Mission Hospital!, mbona kulikuwa na Hospitali chungu nzima za wenyewe?!.

All and all, namalizia kwa kukueleza jinsi ninavyokukubali kipaji na uwezo wako wa sio tuu wa kutunga, bali hata kuhadithia kitu hata kama ni cha uongo na kutungwa tuu, huonekana kama ni ukweli!.

Big up for this!.

Thanks.

Pasco.

Ngoja nikupe darsa dogo kuhusu neno "kukaririshwa".

Neno kukaririshwa linatokana na neno la Kiarabu "Ikraa" kwa Kiswahili, "SOMA". Hilo ni neno la kwanza kushushwa katika Qur'an.

Neno "kukaririshwa" ni kusomeshwa.

Jee, Pasco wewe hujasomeshwa? uliamka tu unajuwa kusoma? sidhani kama hujakaririsha a b c d e f (Alphabet) na kuzikariri, leo hii ungeweza kuandika au kusoma kama hujakaririshwa?

Neno "alphabet" ni Kiarabu na ndicho wanachokariri watoto wa madrasa, Alif Be Te = Alphabet, sasa wewe mwenzetu labda hujakaririshwa Alphabet, sijui umekaririshwa nini?
 
Mohamed Said,

Katika mapito ya nera usahihi, visa na mikasa yenye kuhusu tawala na mkumbato wakimamlaka ni mkono wa ccm,

Tulaani uchochezi wa ccm na mamluki wao Shehe Jongo na Kasisi wao Pengo.

Kumbe hata wewe mdini? Njaa zenu kisiasa msiziweke kwenye madhabau na misikiti.. Sheikh Mohamed Said namuheshimu sana siwezi kumjibu wala kucomment..
 
Mkuu Maalim Mohamed Said, nakuona "you are on it again!"

Kiukweli .... itakapofika, sio tuu nitahudhuria panapo majaaliwa, bali pia nitawashauri na ikibidi kujitolea kusaidia kuhakikisha linasakafiwa lote! hata ikibidi kwa marumaru, au granite, vinginevyo litaota miiba mikali ya ncha za sumu zitakazochomoza toka ndani, kwa sababu mwisho wa siku, hiyo sumu anayojitahidi sana kuipandikiza kwa matumaini kuwa utaishuhudia ikiota, kumea na kustawi na kuzaa matunda!, kamwe hili halilatokea!.

Wale wa kukaririshwa tuu kama ilmu ya madratul!, wameishawashtukia!.

Ila pia nimefurahi kusikia kumbe ilibidi alazwe na kutibiwa Mission Hospital!, mbona kulikuwa na Hospitali chungu nzima za wenyewe?!.

All and all, namalizia kwa kukueleza jinsi ninavyokukubali kipaji na uwezo wako wa sio tuu wa kutunga, bali hata kuhadithia kitu hata kama ni cha uongo na kutungwa tuu, huonekana kama ni ukweli!.

Big up for this!.

Thanks.

Pasco.


Pasco mpwa wangu toka zamani nakueleza, achana na hawa watakudharirisha kama siku ile kwa yule bint ya Unguja ukababaika ukaishia kuja na ID nyingine, hawa wanajua wanalopigania na wana Task force kubwa sana, mimi nimeisharudi Kwetu Usukumani, napeperusha bendera ya Tanganyika...

//Ahsanta//
 
Duh Ustadhi wa Kariako karejea tena kivingine ingawa lengo lake ni lilelile kutufarakanisha waTanganyika.

Ngongo,
Mimi si ''ustadh'' ingawa natamani ningelikuwa na ilm hiyo adhim.
Hilo umefanya haraka na ndiyo maana ukakosea.

Ulopatia ni hilo la Kariakoo.

Alhamdulilah Mola kanikirimu si mie tu bali kizazi chetu unaweza kwenda nyuma
miaka mingi sana.

Sisi ni watu wa Kariakoo.
Sidhani kama hili lina ugomvi na mtu.

Mtafute aliyeleta farka utamuona katika historia ya Waislam wa Tanganyika.
Mimi nimeandika historia farka kaleta mwingine.
 
Mkuu Maalim Mohamed Said, nakuona "you are on it again!"

Kiukweli .... itakapofika, sio tuu nitahudhuria panapo majaaliwa, bali pia nitawashauri na ikibidi kujitolea kusaidia kuhakikisha linasakafiwa lote! hata ikibidi kwa marumaru, au granite, vinginevyo litaota miiba mikali ya ncha za sumu zitakazochomoza toka ndani, kwa sababu mwisho wa siku, hiyo sumu anayojitahidi sana kuipandikiza kwa matumaini kuwa utaishuhudia ikiota, kumea na kustawi na kuzaa matunda!, kamwe hili halilatokea!.

Wale wa kukaririshwa tuu kama ilmu ya madratul!, wameishawashtukia!.

Ila pia nimefurahi kusikia kumbe ilibidi alazwe na kutibiwa Mission Hospital!, mbona kulikuwa na Hospitali chungu nzima za wenyewe?!.

All and all, namalizia kwa kukueleza jinsi ninavyokukubali kipaji na uwezo wako wa sio tuu wa kutunga, bali hata kuhadithia kitu hata kama ni cha uongo na kutungwa tuu, huonekana kama ni ukweli!.

Big up for this!.

Thanks.

Pasco.

Pasco,
FF keshakujibu.
 
Kama kawaida leo zamu ya yuleeeeeeee,,, huyu sio yule Faiza wa Canada aliye ukana utanganyika na Utanzania wake

Sasa unanipa cheo cha utatu ambacho sikikubali, hicho mmempachika mmoja tu nae atakuja kuwasuta.
 
Angalikuwa amelia kwa sababu aliyetukanwa ni marehemu muislamu msingetokwa mapovu. Peleka huko hizo historia zenu za uongo mnazotumia kupandikiza chuki kwa waislamu dhidi ya wakristo, umasikini wa akili unawatafuna. laanatullah aleyhi.
 
Angalikuwa amelia kwa sababu aliyetukanwa ni marehemu muislamu msingetokwa mapovu. Peleka huko hizo historia zenu za uongo mnazotumia misikitini kupandikiza chuki kwa waislamu dhidi ya wakristo, umasikini wa akili unawatafuna. laanatullah aleyhi.
 
Mosi mchango wa waislamu kupigania uhuru wa Tanganyika ni uongo uliojaa chuki za udini na ukanda.Ukweli ni kwamba uhuru wa Tanganyika ulipatikana kwasababu wazee wetu wote bila kujali dini,makabila au ukanda walishirikiana hadi mkoloni akasalimu amri akatuachia nchi yetu Tanganyika.

Pili uhuru wa Tanganyika ulipiganiwa na sehemu moja ndogo sana "Kariakoo' huku watanganyika wa sehemu nyingine wakiwa wamelala.Ukweli ni kwamba uhuru wa Tanaganyika ulipiganiwa na watu wa sehemu mbali mbali kuanzia Upareni,Iringa,Meru,Tabora,Kigoma .........

Histohisia ya Mohamed Said imejikita katika kuwabagua watanganyika wa dini ngingine hasa wakristo na kuwaenzi waislamu hata kama mchango wenyewe hauna mashiko lakini Sheikh wa Kariakoo ataukuza bila sababu za msingi.

Bibie unataka niendeleeeeeee mbona utachoka na kushangaaaaaa.

Hebu tuwekee nukuu japo moja basi ambayo hukuipenda katika maandiko yake, au wewe una laani kwa kuona jina Al Alama Mohamed Said tu?
 
Last edited by a moderator:
Sheikh Kundecha ni mfano wa kuigwa na masheikh wote na waumini kwa maana ya namna ya kujenga hoja, kubaki kwenye hoja, kuzisimamia hoja, na kubomoa na kujenga mnara wa hoja imara, Sheikh Jongo ni mfano mbaya wa kuigwa kabla hata hajafananishwa na yoyote yule awaye. Ameonyesha unafiki wa hali ya juu si kwake yeye tu bali hata kwa taasisi anayoiwakilisha kwenye BM la katiba. Huwa najiuliza ni unafiki wa kiwango cha namna gani umemfanya alie kwa ghafla na wakati huohuo anyamaze kwa ghafla na kuendelea kuchangia kana kwamba hakuna kilichotokea?!.

Masheikh wa aina ya Jongo hawapaswi kuongoza hata madrasa kwenye mitaa wanayoishi maana wanaweza kuwa chanzo cha kuzalisha vijana wenye tabia kama zake.
 
Angalikuwa amelia kwa sababu aliyetukanwa ni marehemu muislamu msingetokwa mapovu. Peleka huko hizo historia zenu za uongo mnazotumia kupandikiza chuki kwa waislamu dhidi ya wakristo, umasikini wa akili unawatafuna. laanatullah aleyhi.

Hizi lugha zina wenyewe, hapo kijana umejilaani mwenyewe, hebu badili basi, hakuna kitu kibaya kama kujilaani mwenyewe.
 
Ngoja nikupe darsa dogo kuhusu neno "kukaririshwa".

Neno kukaririshwa linatokana na neno la Kiarabu "Ikraa" kwa Kiswahili, "SOMA". Hilo ni neno la kwanza kushushwa katika Qur'an.

Neno "kukaririshwa" ni kusomeshwa.

Jee, Pasco wewe hujasomeshwa? uliamka tu unajuwa kusoma? sidhani kama hujakaririsha a b c d e f (Alphabet) na kuzikariri, leo hii ungeweza kuandika au kusoma kama hujakaririshwa?

Neno "alphabet" ni Kiarabu na ndicho wanachokariri watoto wa madrasa, Alif Be Te = Alphabet, sasa wewe mwenzetu labda hujakaririshwa Alphabet, sijui umekaririshwa nini?

Hujajibu hoja na ndo zenu kutaka kuaminisha mambo yenu!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom