Sheikh Jongo bado ana mengi ya kujifunza

Sheikh Jongo bado ana mengi ya kujifunza

Status
Not open for further replies.
Mosi mchango wa waislamu kupigania uhuru wa Tanganyika ni uongo uliojaa chuki za udini na ukanda.Ukweli ni kwamba uhuru wa Tanganyika ulipatikana kwasababu wazee wetu wote bila kujali dini,makabila au ukanda walishirikiana hadi mkoloni akasalimu amri akatuachia nchi yetu Tanganyika.

Pili uhuru wa Tanganyika ulipiganiwa na sehemu moja ndogo sana "Kariakoo' huku watanganyika wa sehemu nyingine wakiwa wamelala.Ukweli ni kwamba uhuru wa Tanaganyika ulipiganiwa na watu wa sehemu mbali mbali kuanzia Upareni,Iringa,Meru,Tabora,Kigoma .........

Histohisia ya Mohamed Said imejikita katika kuwabagua watanganyika wa dini ngingine hasa wakristo na kuwaenzi waislamu hata kama mchango wenyewe hauna mashiko lakini Sheikh wa Kariakoo ataukuza bila sababu za msingi.

Bibie unataka niendeleeeeeee mbona utachoka na kushangaaaaaa.

Umesema yako lakini bado hujaonesha hata nukuu moja ambayo wewe unaona kuwa ni ya chuki.

Kuandika fulani ni muongo ni rahisi sana lakini kuleta badala ya huo uongo wake, ukweli ni huu, ni rahisi zaidi kama unao huo ukweli. Lakini kama wewe ndiye usemae uongo ukamwambia mwenzako wewe muongo na yeye ndiye asemae ukweli, inakuwa ni kazi ngumu sana wewe kuuleta ukweli

Kwa kuwa umesema "Mosi mchango wa waislamu kupigania uhuru wa Tanganyika ni uongo uliojaa chuki za udini na ukanda." sasa tunaomba tuelezee ukweli wako.

Jee, Mshume Kiyate hakuwapo ni uongo? Jee Abdul Waheed Sykes hakuwapo ni uongo? Jee, Sheikh Hassan Bin Ameir hakuwepo ni uongo?
 
Hujajibu hoja na ndo zenu kutaka kuaminisha mambo yenu!

Nijibu hoja ipi? ya Al Alama Mohamed Said? maana yeye ndiye mleta hoja hapa, sina uwezo huo. Au kuna hoja nyingine? ambayo mimi sijaiona.

Nadhani nawe umefaidika na darsa dogo kuhusu "Kukakarishwa" nililompa Pasco. Na umefaidika zaidi na darsa kubwa analotoa Al Alama Mohamed Said, jee hukufaidika japo "kiduchu" na darsa hilo la historia?

Jee, wewe hukukaririshwa Alphabet?
 
Last edited by a moderator:
attachment.php

Kwahiyo hapo wadhihirisha njaa yake kisa kapewa na kafir(mkristo)? Maana ktk bandiko umedhiri ilikua ni dhihaka Sheikh Takadir kuweka kibwagizo cha "Mtume" wakat akimrejelea Nyerere enzi za harakati za uhuru wa "Dar es salaam". Tafsiri ni kwamba angeitwa "mtume" muislam au ngozi nyeupe kama mapokeo yalivyoharibu haribu akili nyingi za waafrika kama wewe ilikua sawa.
 
Je Mwl Nyerere mkristo mkatoliki hakuwepo katika harakati za kupigania uhuru ?.

Je Kanisa halikutoa tiketi ya ndege kwenda UN kwaajili ya uhuru wa Tanganyika ?.

Je Mzee Rupia alikuwa ustaadhi au mkristo ?.

Je Chief David Kidaha allikuwa Sheikh wa msikiti gani ?

Rais wa kwanza TAA alikuwa nani mgalatia au ustadhii sasa ukaitazama historia ya kweli ya Tanganyika maandshi ya Maalim Mohamed Said ni kichekesho kama si kituko.

Umesema yako lakini bado hujaonesha hata nukuu moja ambayo wewe unaona kuwa ni ya chuki.

Kuandika fulani ni muongo ni rahisi sana lakini kuleta badala ya huo uongo wake ukweli ni huu ni rahisi zaidi kama unao huo ukweli. Lakini kama wewe ndiye usemae uongo ukamwambia mwenzako wewe muongo na yeye ndiye asemae ukweli, inakuwa ni kazi ngumu sana wewe kuuleta ukweli

Kwa kuwa umesema "Mosi mchango wa waislamu kupigania uhuru wa Tanganyika ni uongo uliojaa chuki za udini na ukanda." sasa tunaomba tuelezee ukweli wako.

Jee, Mshume Kiyate hakuwapo ni uongo? Jee Abdul Waheed Sykes hakuwapo ni uongo? Jee, Sheikh Hassan Bin Ameir hakuwepo ni uongo?
 
Je Mwl Nyerere mkristo mkatoliki hakuwepo katika harakati za kupigania uhuru ?.

Je Kanisa halikutoa tiketi ya ndege kwenda UN kwaajili ya uhuru wa Tanganyika ?.

Je Mzee Rupia alikuwa ustaadhi au mkristo ?.

Je Chief David Kidaha allikuwa Sheikh wa msikiti gani ?

Rais wa kwanza TAA alikuwa nani mgalatia au ustadhii sasa ukaitazama historia ya kweli ya Tanganyika maandshi ya Maalim Mohamed Said ni kichekesho kama si kituko.

Hahahahahahah.........walau ungem-quote MS ndio ajibu hizo hoja,as yeye ndie mwenye hati milki ya ngano hizi. Kwa akili yake anaona nduguze ndio wapigania huru kisa waliishi Dar es salaam(kitovu cha harakati na ambapo ndipo yalikua makao makuu ya governor) lakini hata siku moja hajatuonesha wapigania uhuru wengine toka sehem zingine nje ya dar. Kwa msingi huu ndio maana huishia kudhihakiwa kwa ubaguzi wake dhidi ya ukristo.
 
Video za kususia kuswali nyuma ya Sheikh Jongo zinazasambazwa kwenye WhatsApp nimeipata moja msemaji katika macho yangu anaonekana kuwa ni yule Daaiyah maarufu anayelingania kupitia Biblia.

Katika hali kama hii toba ya Sheikh Jongo inatakiwa aifanyie hadharani ili kila Muislamu aujue msimamo wake mpya...
 
Chama nimekusoma hata namimi.

Ila tatizo la watu kama Jongo ni unafiki na kuendekeza njaaa

Ukweli wanaujua ila wanauuza for the sake of matumbo yao.

The Big show
siku zote mtu anayetumia mgongo wa dini kujipenyeza kwenye siasa au anayetumia dini kujineemesha kimaisha hao mufilisi na siku zote wanaishia pabaya; kwasababu nia zao sio njema !
 
Maalim Mohameid said Allah akujaalie umri bora na uendelee kutoa darsa namna hii maana ukweli wa hii Tanganyika na harakati za uhuru nimejulia kwako. Napenda sana kujua historia za hawa Marhum(Allah awa hifadhi sehem stahiki). Pia ningependa kukufahamu kama si kukuona kabisa kwani nyingi maswali pale Manyema na kupata Juice ya Tende, na hii ishu ya Jongo(Mnaafiquna) niliisikia ikiongelewa pale Masijd . Na pia ningependa kufaham harakati na mchango wa mzazi wako ktk Tanganyika hii.

Assalam Aleykum Ak-Akhi
 
Last edited by a moderator:
The Big show
siku zote mtu anayetumia mgongo wa dini kujipenyeza kwenye siasa au anayetumia dini kujineemesha kimaisha hao mufilisi na siku zote wanaishia pabaya; kwasababu nia zao sio njema !
Nimeiangalia video anayolia.
Mara baada ya kilio sheikh Jongo analeta tamko la shahadah kusisitizia kuwa yeye ni Muislamu, je alijua kuwa alichokifanya kinaongoza kwenye kufru na baadaye kuijadidi (renew) imani yake?
 
Nimeiangalia video anayolia.
Mara baada ya kilio sheikh Jongo analeta tamko la shahadah kusisitizia kuwa yeye ni Muislamu, je alijua kuwa alichokifanya kinaongoza kwenye kufru na baadaye kuijadidi (renew) imani yake?

Nadhani atakayekupa jibu sahihi ni sheikh Jongo yeye ndiye anayejua nini kilimliza
 
Je Mwl Nyerere mkristo mkatoliki hakuwepo katika harakati za kupigania uhuru ?.

Je Kanisa halikutoa tiketi ya ndege kwenda UN kwaajili ya uhuru wa Tanganyika ?.

Je Mzee Rupia alikuwa ustaadhi au mkristo ?.

Je Chief David Kidaha allikuwa Sheikh wa msikiti gani ?

Rais wa kwanza TAA alikuwa nani mgalatia au ustadhii sasa ukaitazama historia ya kweli ya Tanganyika maandshi ya Maalim Mohamed Said ni kichekesho kama si kituko.

Hujajibu hata swali moja nililokuuliza.

Jee, hayo yote unayouliza Al Alama Mohamed Said hajaandika kwenye vitabu vyake?

Jee, umesoma kitabu gani kikakupa hiyo historia? au umekiandika wewe? naomba reference.

Kama hauna, ngoja nimuombe Al Alama Mohamed Said aje kukujibu. Hii mada yake mimi napiga chapuo tu.

Kumbuka, hujajibu swali langu hata moja.
 
The Big show
siku zote mtu anayetumia mgongo wa dini kujipenyeza kwenye siasa au anayetumia dini kujineemesha kimaisha hao mufilisi na siku zote wanaishia pabaya; kwasababu nia zao sio njema !

Kama Jongo?
 
Kama Jongo?

Bahati nzuri simfahamu sheikh Jongo sijawahi kusikia mafundisho yake siwezi kumhukumu kwenye hilo; ila kwa yeye kuwa sheikh hamkuzii kuongea kile anachoamini kama mtanzania; sawa na sheikh Mohamed Said yeye ni muumini na mwanazuoni hilo halijamzuia kutoa hisia zake za kisiasa za kuwa mpinzani wa serikali ya CCM; fungukeni kifikra angalieni pande za shilingi kama sisi tunavyomkubali sheikh Mohamed Said basi na nyie jaribuni kujenga ustaarabu wa kuwakubali viongozi ambao wanaunga mkono CCM
 
Last edited by a moderator:
mkuu hakuna kilichoharibika. kupitia JF nakufahamu ndo maana nikakukumbusha. wapuuzi wa humu mitandaoni wanaweza kukufanya ukasirike kupitiliza. wakati mwengine nikuwapotezea tu kama inawezekana.

Sawa mkuu

Nitajirekebisha

Samahan kwa kukukwaza.
 
Bahati nzuri simfahamu sheikh Jongo sijawahi kusikia mafundisho yake siwezi kumhukumu kwenye hilo; ila kwa yeye kuwa sheikh hamkuzii kuongea kile anachoamini kama mtanzania; sawa na sheikh Mohamed Said yeye ni muumini na mwanazuoni hilo halijamzuia kutoa hisia zake za kisiasa za kuwa mpinzani wa serikali ya CCM; fungukeni kifikra angalieni pande za shilingi kama sisi tunavyomkubali sheikh Mohamed Said basi na nyie jaribuni kujenga ustaarabu wa kuwakubali viongozi ambao wanaunga mkono CCM

Kumbe hujaona hata kilio chake cha kinafik pale bungeni? sasa ndugu yangu si utazame kwanza mkanda wake ujionee mwenyewe? kumbe unabishana kitu hata hujakiona?

Kuhusu CCM, wala usiwe na shaka, mimi mmojawapo ni mwanachama hai wa CCM. Ila kumbuka uanachama wangu wa CCM haunizuwii nikiliona baya au lisilopendezesha kutoka kwa mwana CCM mwingine basi nilifumbie macho kwa kuwa eti mimi ni CCM. Hiyo kwangu na kwa wengi haiendi.

Ndiyo maana sikupendezewa hata William Lukuvi alipokwenda kutugawa kidini pale Kanisani na nimefungua nyuzi humuhumu JF kwa hilo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom