we kama mie nimeshangaa tu hii true story inayotolewa na watu makini na wachambuzi wa mambo kama huyu jamaa ilivyoisha!! mkuu usichoke kutupatia darsa ni muhimu sana na watu kama sheikh jongo waone hii wajijue na kuacha unafiki wao! bravoooo!!!!!
Mohamed Said,hayo makaburi yaliyovunjwa United Nations road yalikuwa sehemu/eneo lipi la hiyo barabara???/
Nadhani ilikuwa ni kitambo sana, inavyoelekea ni pale Upanga karibu ya Msikiti ule( nadhani Tambaza) kwenye makutano ya Diamond Jubilee na ile barabara ya Muhimbili Hospitali. Hadi leo yapo baadhi kwa ndani ndani kule. Lakini kwa uhakika Sheikh Moh'd Said aje atufafanulie!
huu uzi umeekaa kihafidhina kuleta chuki kwa baba wa taifa kwa kupanda mbegu ya fitna kwa waislamu wenzako this is true fallacy inayoitwa beg the question.kuna watu kama ninyi mohamedi said wenye mlengo wa kushoto wa kuwaaminisha waaslimu wamenyanyasika na kuonewa kumbe ufalme unaofitinika hautasimama.meza nzima nzima bila kutema,mawazo ya ukakasi kwa jamii ya mazonge kama ninyi mtaishia kulament
huu uzi umeekaa kihafidhina kuleta chuki kwa baba wa taifa kwa kupanda mbegu ya fitna kwa waislamu wenzako this is true fallacy inayoitwa beg the question.kuna watu kama ninyi mohamedi said wenye mlengo wa kushoto wa kuwaaminisha waaslimu wamenyanyasika na kuonewa kumbe ufalme unaofitinika hautasimama.meza nzima nzima bila kutema,mawazo ya ukakasi kwa jamii ya mazonge kama ninyi mtaishia kulament
Akhsante mzee Mohamed Said kwa bayana yako.
Mohamed Said,
Katika mapito ya nera usahihi, visa na mikasa yenye kuhusu tawala na mkumbato wakimamlaka ni mkono wa ccm,
Tulaani uchochezi wa ccm na mamluki wao Shehe Jongo na Kasisi wao Pengo.
Mohamed Said
Hivi leo sheikh Jongo amekuwa sio sheikh kwasababu amekwenda kinyume na mitazamo yako??? Nadhani wewe sheikh una nafasi kubwa sana ya kumuona sheikh Jongo na kumuelimisha; nina uhakika sheikh Jongo haingii JF sasa huoni hili darsa litakuwa limepotea bure?? siku zote Bakwata imekuwa ndio taka la lawana lakini inashangaza sana kuona hadi leo mmeshindwa kuunda taasisi yenye nguvu ambayo itasimamia haki za waislamu; sheikh siku zinakwenda kilio hiki umekianza miaka mingi sana sasa nadhani huu ni wakti mauafaka wa kupata majibu ya kilio chako; maana hata ikija Chadema madarakani (Mungu aupushe mbali balaa hilo) yatakuwa ni yaleyale maana zamani tulikuwa tunasikia tunaonewa kwasababu hatuna raisi muislamu sasa mmebadili maneno tu lakini mdundo ni uleule. Nakutakia afya njema Mola aendelee kukupa wingi hakima na bausara na pale penye mapungufu ayaondoe. Amen