Sheikh Farid mbaroni, atakiwa kuthibitisha utekwaji wake

Naamini maisha yako ndio yale ya Mtanzania wa kawaida nakushauri kaa chini uangalie familia yako, hoyo Farid hakusaidii chochote, hujamchagua kwa kura huo uongozi kajipa mwenyewe na atafanya atakalo, kiongozi wako ni Dr Shein na Maalim Seif unapaswa uwatii hao na sio huyo bwana ndevu samahani kukuambia hili ni vile nina hasira kwani munaua raia mwenzenu kwa kujifanya munamtetea huyo Farid ambaye naamini fujo zikikolea leo Zanzaibar anapanda ndege na kwenda Oman, askari muliyemuua aliapa kwatetea wananchi kwa gharama yoyote, huyo Faridi una uhakika gani kwamba anawajali na hafanyi huo uchochezi kwa manufaa anayojua yeye..........tunza familia yako iwe na maisha bora sio unakuja kutuambia upumbavu humu.
Unamzungumzia nani vile?kweli watu ni wavivu mno wa kusoma!na wakisoma bado tu ni wagumu mno kuelewa!!NIME COPY kutoka kwenye facebook wall ya UAMSHO! Sasa umeelewa kidogo?
 
Kuvalisha wananchi viroba, kuwalisha sembe bovu, kutowapa watu uhuru mpana wa kuzungumza na kujadili mambo mbali mbali (hadi kufikia kutoa kashifa kwa viongozi kama wafanyavyo hapa ukumbini), kutawala kipindi kikubwa bila ya kuwapa nafasi wengine huku ni kutengeza?

Kwa hiyo sasa mmeridhika na UHURU huu mlionao wa kuchinja mapolisi na kuchoma makanisa kuiba?!au tuboreshe nini kingine? Tuna mpango wa kuwaruhusu kuwapora wakristo wake zao ili muwe huru ki kwelikweli!!hii dunia ya kwenu bwana! Nani wa kuwasumbua?mnatakiwa muwe huru KABISA.
 
Hawa wenzetu wanapenda KUJAMBA (kupumua) kweli, kitu kidogo utasikia tuacheni TUJAMBE(tupumue). sasa kama wakiruhusiwa wote wajambe hadharani na urojo wanaokula si watachafua hali ya hewa sana..............mi nafikiri mamlaka ya hali ya hewa imeliona hili ndomana ikaishauri serikali kutowaruhusu hawa watu WAPUMUE
Kwekwekwekwekweeee. Duh!
 
Hawa hapa tena---Jumuiya Ya Uamsho na Mihadhara Ya Kiislamu Zanzibar
BREAKING NEWS

MUHADHARA ULOKUWA UFANYIKE LEO SA 10 HAPO MBUYUNI UMEKHAIRISHWA.
Kutokana na kushikiliwa kwa Amir Farid na viongozi wote wakuu..
Nahuku jeshi la polisi likifanya msako kwa wengine.
Hivyo viongozi wanakuombeni msiende mbuyuni kwani leo Jeshi la polisi wakishirikiana na vikosi vya smz.wamekusudia kufanya makubwa leo.
Shime wananchi tuweni na subra mpaka kesho wakati viongozi watakapo somewa mashtaka yao mahakamani
 
Usalama wa taifa sijui kwa nini wanawacheleweshe hawa wapumbavu?

usalama wa TAIFA kwanini mpaka leo hii haujamoweka ndani ULIMBOKA ilisababisha wagojwa wengi wamekufa then AKAJIFANYA AMETEKWA NYERA mbona hawashitaki watekaji na yeye anawajua ??janja yake Panya kwisa gunduaaa...
 
Habari kutoka fb page yaoJumuiya Ya Uamsho na Mihadhara Ya Kiislamu Zanzibar BREAKING NEWS......... VIONGOZI WAKUU WA UAMSHO WAZUIWA NA POLISI AKIWEMO AMIR FARID HADI. Jeshi la Polisi limewazuwia viongozi wakuu watano wa Uamsho bila ya kosa lolote. Viongozi hao ni Amir Farid Hadi Ahmed,Amir Msellem Ali Mselem,sh Azzan,sh Mussa Juma na sh Hassan Bakar. Jeshi la Polisi lilimwita Amir Farid kumchukua maelezo lakini hukuweza kwenda peke yake aliyambatana na Viongozi wenziwe. Lakushangaza Jeshi la Polisi linavunja sheria wenyewe kwani nikinyume cha sheria walimchukua maelezo Amir Farid bila yakutaka na kumruhusu wakili wake kuweko sh Salum Taufiq. Baada ya kumaliza kumchukua maelezo wakaamua kuwazuwia viongozi wote walokwenda bila ya kutoa sababu maalum au kutoa kosa ambalo lilowafanya wawatie ndani viongozi hao. Inavoonekanwa Jeshi la Polisi linataka kuanza kufanya njama za kutaka kuwabandikia kesi ambazo hazina kichwa wala miguu tayari kuna tetesi kuwa wanataka kuwapa kesi ya mauaji ya askari wao aliyepigwa mapanga juzi. Tunawambia tena jeshi la Polisi kuwa wao ndio wa mwanzo wanaovunja sheria na kuanzisha fujo kesi yoyote watakayowapa viongozi wetu ambayo itawadhalilisha wajue wataharibu Amani ya nchi hii. Kwani hata dhamana wamekataa kutoa wanataka kuwafikisha mahakamani viongozi hao siku ya Jumatatu na kutaka kuwabandikia kesi ya mauaji ili wakose dhamana na wawadhalilishe viongozi wasipate kutolewa tena. Tunawatahadharisha Jeshi la Polisi Amani ya nchi hii wao ndio wanaichezea kumteka wamteke na kesi wa mpe siku zote walikuwa wanae wao huyo Askari wao alimuua sangapi? Wao ndio wanaowabuudhi wananchi kuwapiga ovyo katika maeneo tofauti wakishirikiana na KMKM na KVZ halafu sasa wanataka kuwambia viongozi wetu ndio walioanzisha fujo. Ila wananchi nyote munaombwa muwe watulivu na mutunze amani kwa sasa huku Mawakili wetu wakishulikia kesi hiyo pamoja na Viongozi wengine. Ila tunaombwa pia tufike kwa wingi Mahakani siku ya Jumatatu watakapoasomewa mashataka yao,mpaka sasa hatujajua watapangiwa Mahakama ipi. Tuachiwe Tupumuwee......Hao ndiyo Uhamisho bana!!kila kitu wanaonewa wao!!this time naona tuwaonee jumla,
TUTAFAKAR PAMOJA. Mtu atekwe kwa siku tatu na katika siku hizo awe hali kituila kunywa maji tu halafu siku anapopatikana ana afya nzuri na hana dalili yoyote ya uchovu,hili linakuwa gumu kuamini.Tafuteni dalili anazokuwa nazomtu sukari ikishuka mwilini (hypoglycaemia)
 
Habari kutoka fb page yaoJumuiya Ya Uamsho na Mihadhara Ya Kiislamu Zanzibar
BREAKING NEWS.........
VIONGOZI WAKUU WA UAMSHO WAZUIWA NA POLISI AKIWEMO AMIR FARID HADI.

Jeshi la Polisi limewazuwia viongozi wakuu watano wa Uamsho bila ya kosa lolote.
Viongozi hao ni Amir Farid Hadi Ahmed,Amir Msellem Ali Mselem,sh Azzan,sh Mussa Juma na sh Hassan Bakar.
Jeshi la Polisi lilimwita Amir Farid kumchukua maelezo lakini hukuweza kwenda peke yake aliyambatana na Viongozi wenziwe.
Lakushangaza Jeshi la Polisi linavunja sheria wenyewe kwani nikinyume cha sheria walimchukua maelezo Amir Farid bila yakutaka na kumruhusu wakili wake kuweko sh Salum Taufiq.
Baada ya kumaliza kumchukua maelezo wakaamua kuwazuwia viongozi wote walokwenda bila ya kutoa sababu maalum au kutoa kosa ambalo lilowafanya wawatie ndani viongozi hao.
Inavoonekanwa Jeshi la Polisi linataka kuanza kufanya njama za kutaka kuwabandikia kesi ambazo hazina kichwa wala miguu tayari kuna tetesi kuwa wanataka kuwapa kesi ya mauaji ya askari wao aliyepigwa mapanga juzi.
Tunawambia tena jeshi la Polisi kuwa wao ndio wa mwanzo wanaovunja sheria na kuanzisha fujo kesi yoyote watakayowapa viongozi wetu ambayo itawadhalilisha wajue wataharibu Amani ya nchi hii.
Kwani hata dhamana wamekataa kutoa wanataka kuwafikisha mahakamani viongozi hao siku ya Jumatatu na kutaka kuwabandikia kesi ya mauaji ili wakose dhamana na wawadhalilishe viongozi wasipate kutolewa tena.

Tunawatahadharisha Jeshi la Polisi Amani ya nchi hii wao ndio wanaichezea kumteka wamteke na kesi wa mpe siku zote walikuwa wanae wao huyo Askari wao alimuua sangapi?
Wao ndio wanaowabuudhi wananchi kuwapiga ovyo katika maeneo tofauti wakishirikiana na KMKM na KVZ halafu sasa wanataka kuwambia viongozi wetu ndio walioanzisha fujo.
Ila wananchi nyote munaombwa muwe watulivu na mutunze amani kwa sasa huku Mawakili wetu wakishulikia kesi hiyo pamoja na Viongozi wengine.
Ila tunaombwa pia tufike kwa wingi Mahakani siku ya Jumatatu watakapoasomewa mashataka yao,mpaka sasa hatujajua watapangiwa Mahakama ipi.

Tuachiwe Tupumuwee......Hao ndiyo Uhamisho bana!!kila kitu wanaonewa wao!!this time naona tuwaonee jumla,


Tatizo shule ni ndogo hawawezi hata kuheshimu viongozi wao wa dini
 
Habari kutoka fb page yaoJumuiya Ya Uamsho na Mihadhara Ya Kiislamu Zanzibar
BREAKING NEWS.........
VIONGOZI WAKUU WA UAMSHO WAZUIWA NA POLISI AKIWEMO AMIR FARID HADI.

Jeshi la Polisi limewazuwia viongozi wakuu watano wa Uamsho bila ya kosa lolote.
Viongozi hao ni Amir Farid Hadi Ahmed,Amir Msellem Ali Mselem,sh Azzan,sh Mussa Juma na sh Hassan Bakar.
Jeshi la Polisi lilimwita Amir Farid kumchukua maelezo lakini hukuweza kwenda peke yake aliyambatana na Viongozi wenziwe.
Lakushangaza Jeshi la Polisi linavunja sheria wenyewe kwani nikinyume cha sheria walimchukua maelezo Amir Farid bila yakutaka na kumruhusu wakili wake kuweko sh Salum Taufiq.
Baada ya kumaliza kumchukua maelezo wakaamua kuwazuwia viongozi wote walokwenda bila ya kutoa sababu maalum au kutoa kosa ambalo lilowafanya wawatie ndani viongozi hao.
Inavoonekanwa Jeshi la Polisi linataka kuanza kufanya njama za kutaka kuwabandikia kesi ambazo hazina kichwa wala miguu tayari kuna tetesi kuwa wanataka kuwapa kesi ya mauaji ya askari wao aliyepigwa mapanga juzi.
Tunawambia tena jeshi la Polisi kuwa wao ndio wa mwanzo wanaovunja sheria na kuanzisha fujo kesi yoyote watakayowapa viongozi wetu ambayo itawadhalilisha wajue wataharibu Amani ya nchi hii.
Kwani hata dhamana wamekataa kutoa wanataka kuwafikisha mahakamani viongozi hao siku ya Jumatatu na kutaka kuwabandikia kesi ya mauaji ili wakose dhamana na wawadhalilishe viongozi wasipate kutolewa tena.

Tunawatahadharisha Jeshi la Polisi Amani ya nchi hii wao ndio wanaichezea kumteka wamteke na kesi wa mpe siku zote walikuwa wanae wao huyo Askari wao alimuua sangapi?
Wao ndio wanaowabuudhi wananchi kuwapiga ovyo katika maeneo tofauti wakishirikiana na KMKM na KVZ halafu sasa wanataka kuwambia viongozi wetu ndio walioanzisha fujo.
Ila wananchi nyote munaombwa muwe watulivu na mutunze amani kwa sasa huku Mawakili wetu wakishulikia kesi hiyo pamoja na Viongozi wengine.
Ila tunaombwa pia tufike kwa wingi Mahakani siku ya Jumatatu watakapoasomewa mashataka yao,mpaka sasa hatujajua watapangiwa Mahakama ipi.

.
Kama vyombo vya usalama visingewakamata kwa mahojiano zaidi wananchi wapenda amani tungevishangaa. Maelezo yaliyotolewa na huyu sheikh kwamba alitekwa hayajitoshelezi na yana kila viashiria kuwa ni ulaghai uliotungwa. Na ikithibitika kuwa zile zilikuwa ni njama na sii kweli kwamba alitekwa basi kifo cha polisi aliyeuawa kwa vurugu za kuaminiwa katekwa kinamhusu asilani.
.
wenzio virungu walivyo pigwa hawana hamu na maandamano tena, hujasikia kwa muhadhara wa leo haupo? chezea serikali wewe, wewe nenda huko leo uone, na huyo amiri si umesikia yupo ndani nenda kamtoe basi kama unanguvu hiyo.
 
TUTAFAKAR PAMOJA. Mtu atekwe kwa siku tatu na katika siku hizo awe hali kituila kunywa maji tu halafu siku anapopatikana ana afya nzuri na hana dalili yoyote ya uchovu,hili linakuwa gumu kuamini.Tafuteni dalili anazokuwa nazomtu sukari ikishuka mwilini (hypoglycaemia)

Jinsi Damu ya CHADEMA inavyowaathiri katika miili yenu na mulivyo na CHUKI dhidi ya UISLAMU naamini haya ndio mawazo ya wengi hapa JF, munachukulia
kutekwa ni kupigwa ama kuteswa kama
alivyofanywa Dk Ulimboka na
munajisahaulisha kama kuna aina njingi ya utekaji. Ingefurahisha zaidi kama mungekua wawazi na kukubali kwamba utekaji wa makachero wa usalama
wa taifa huwa ni wakutumia akili na maarifa mengi na wala hawakurupuki.
Dr Ulimboka alitekwa
kwa lengo la kumuua na Sheikh Farid katekwa kwa lengo la kuwachanganya wananchi na kuwagawa katika mitizamo yao.
Hapa ni lazima utekaji wao lazima uwe tofauti. Watanganyika banaaaa!
 
Sijali wakifanya fujo Zanzibar, waache wachinjane hukohuko (naomba msamaha kwa watu wastaarabu). Ila kinachoniudhi ni watu wa huku bara kutaka kuyaleta mambo ambayo hayatuhusu.
Ni nini mnataka? Kama serikali yenu huko zanzibar au nchi yenu huru, go ahead! leave us alone, we don't even like you guys!!

It's about time tuachane na wazanzibar before things get out of control.
 
Kesho watalianzisha tena, dawa ni kuwakata ndimi zao hawa
 
Habari kutoka fb page yaoJumuiya Ya Uamsho na Mihadhara Ya Kiislamu Zanzibar
BREAKING NEWS.........
VIONGOZI WAKUU WA UAMSHO WAZUIWA NA POLISI AKIWEMO AMIR FARID HADI.

Jeshi la Polisi limewazuwia viongozi wakuu watano wa Uamsho bila ya kosa lolote.
Viongozi hao ni Amir Farid Hadi Ahmed,Amir Msellem Ali Mselem,sh Azzan,sh Mussa Juma na sh Hassan Bakar.
Jeshi la Polisi lilimwita Amir Farid kumchukua maelezo lakini hukuweza kwenda peke yake aliyambatana na Viongozi wenziwe.
Lakushangaza Jeshi la Polisi linavunja sheria wenyewe kwani nikinyume cha sheria walimchukua maelezo Amir Farid bila yakutaka na kumruhusu wakili wake kuweko sh Salum Taufiq.
Baada ya kumaliza kumchukua maelezo wakaamua kuwazuwia viongozi wote walokwenda bila ya kutoa sababu maalum au kutoa kosa ambalo lilowafanya wawatie ndani viongozi hao.
Inavoonekanwa Jeshi la Polisi linataka kuanza kufanya njama za kutaka kuwabandikia kesi ambazo hazina kichwa wala miguu tayari kuna tetesi kuwa wanataka kuwapa kesi ya mauaji ya askari wao aliyepigwa mapanga juzi.
Tunawambia tena jeshi la Polisi kuwa wao ndio wa mwanzo wanaovunja sheria na kuanzisha fujo kesi yoyote watakayowapa viongozi wetu ambayo itawadhalilisha wajue wataharibu Amani ya nchi hii.
Kwani hata dhamana wamekataa kutoa wanataka kuwafikisha mahakamani viongozi hao siku ya Jumatatu na kutaka kuwabandikia kesi ya mauaji ili wakose dhamana na wawadhalilishe viongozi wasipate kutolewa tena.

Tunawatahadharisha Jeshi la Polisi Amani ya nchi hii wao ndio wanaichezea kumteka wamteke na kesi wa mpe siku zote walikuwa wanae wao huyo Askari wao alimuua sangapi?
Wao ndio wanaowabuudhi wananchi kuwapiga ovyo katika maeneo tofauti wakishirikiana na KMKM na KVZ halafu sasa wanataka kuwambia viongozi wetu ndio walioanzisha fujo.
Ila wananchi nyote munaombwa muwe watulivu na mutunze amani kwa sasa huku Mawakili wetu wakishulikia kesi hiyo pamoja na Viongozi wengine.
Ila tunaombwa pia tufike kwa wingi Mahakani siku ya Jumatatu watakapoasomewa mashataka yao,mpaka sasa hatujajua watapangiwa Mahakama ipi.

Tuachiwe Tupumuwee......Hao ndiyo Uhamisho bana!!kila kitu wanaonewa wao!!this time naona tuwaonee jumla,


Ona hii AIBU! hatakuandika hawajui, mkiambiwa mkasome ohhhhhh tunasoma "elmu ahera"! inawasaidia nini sasa? nendeni shule Waislamu wenzangu...ona hata wanaoandamana ni wale wasio na elimu, ni masikini wasiyo na kazi ni wajinga wajinga tu! Waislamu wasomi hata hawaendi katika maandamano kamwe...mtakufa bureeeeee!
 
Jinsi Damu ya CHADEMA inavyowaathiri katika miili yenu na mulivyo na CHUKI dhidi ya UISLAMU naamini haya ndio mawazo ya wengi hapa JF, munachukulia kutekwa ni kupigwa ama kuteswa kama alivyofanywa Dk Ulimboka na munajisahaulisha kama kuna aina njingi ya utekaji. Ingefurahisha zaidi kama mungekua wawazi na kukubali kwamba utekaji wa makachero wa usalama wa taifa huwa ni wakutumia akili na maarifa mengi na wala hawakurupuki. Dr Ulimboka alitekwa kwa lengo la kumuua na Sheikh Farid katekwa kwa lengo la kuwachanganya wananchi na kuwagawa katika mitizamo yao. Hapa ni lazima utekaji wao lazima uwe tofauti. Watanganyika banaaaa!
Mimi ni Muislamu na inaelekea utanibagua kuwa ni Muislamu wa bara.Nimeandika kuwa tutafakari kwa makinikuhusu utekaji huu wa Sheikh Farid na nimejaribu kutoa tafakari yangu na ni wajibu wako sasa unijibu kwa hoja sio kuanza kutaja Chadema.Sijataja Chadema katika post yangu. Waisalmu tuna changamoto nyingi na hatuwezi kufanikiwa kwa kuvunja na kuiba mali za Waislamu wenzetu.Ni watu wangapi Zanzibar ambao ni Waislamu lakini wamepata hasara kutokana na fujo hizi. Ucha Mungu wa dhati utatuletea mafanikio kuliko fujo.
 
Back
Top Bottom