Shehe Yahya Hussein anahangaishwa na njaa. Hata hao anaowapata nao wana matatizo ya ubongo kama yeye. Huyu wala si shehe bali mshirikina wa kawaida tu anayeutia aibu uislam kwa njaa zake. Na alaaniwe kiumbe huyu sawa na mabwana zake yaani mafisadi na wachakachuaji.
Shehe Yahya Hussein anahangaishwa na njaa. Hata hao anaowapata nao wana matatizo ya ubongo kama yeye. Huyu wala si shehe bali mshirikina wa kawaida tu anayeutia aibu uislam kwa njaa zake. Na alaaniwe kiumbe huyu sawa na mabwana zake yaani mafisadi na wachakachuaji.
Ole wake yule asomaye nyota, mpiga ramli na wachawi hakika Jehanamu ni yao. Inampasa atubu dhambi zake zote alizozifanya ikiwemo na kuiba nyota za watu apigweeeeeeeeeeeeeeeeeeee..............
Mimi nilifikiri amekufa. Chali yenyewe ndiyo hiyo? Mbona siku zote huwa anachemka tu. Si ndiye aliyesema Rais wa Tz angekuwa mwanamke, na akasema uchaguzi ungeahirishwa? sasa yameishia wapi?
Hivi kwani Shehe Yahya nani? hana lolote mweupe tu yule, haya sasa aseme lingine tena, Kelele za mlango toka lini zikamzuia mwenye nyumba kaulala? tumesha mhakikisha kua hana lolote.:tape: