Weka kapicha na namba ya simu.Nipokeeni.
Pia ningependa kupata ndondoo mbalimbali za matumizi ya jukwaa hili kama kuna maangalizo tupeane mapema.
Mfano nikitaka mchumba napataje....
Nikitaka kutangaza nauza simu yangu nafanyaje....n.k
Nipokeeni.
Pia ningependa kupata ndondoo mbalimbali za matumizi ya jukwaa hili kama kuna maangalizo tupeane mapema.
Mfano nikitaka mchumba napataje....
Nikitaka kutangaza nauza simu yangu nafanyaje....n.k
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us