PesaNdogo
JF-Expert Member
- Jun 19, 2013
- 1,994
- 1,293
Hakika kibuti ni kibaya, yani unaona kila rangi kama hivi. Pole mkuuHabar zenyuu MMU,i have been in relationship with certain cute girl almost miaka miwili sasa.Tmeishi vizuri tu bila tatizo although kutofautiana kupo in some days.To be honest,tulikuwa tunapendana sana sana sana.Dah! i cant explain any more,anachotaka sahiv simply "TO BE ALONE" I tried hard to find the reason lakini sjapata.Nmeshamkubaliaila sjajua logic ya hii kitu,kama ulishawah kukutokea hii hali tushare mawazo hapa,ukipenda kukejel,kutukana ni sawa cz ni haki yako ya msingi kikatiba ya JMT