Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
yeye anatka kijana mtanashati mwenye uwezo wa kuhudumia familia..................asema ni kweli kamchezo amekafanya sana lakini sasa maejirekebisha kwa hiyo vijana wasimtupie kapu lake........lol.......................asema yeye hachagui kati ya mlokole au la......................wote sawa tu kwake....................tatizo juzijuzi nimemwona yuko pregnant....sasa sijui waht is happening now..........................nilishindwa kumwuuliza......................i thought that matter was too personal to her................................so I did not want to embarrass her........
Kwanini huyo kijana asimtafute mwenyewe? Uliona wapi mtu wa leo anatafutiwa mpenzi, isipokuwa India tu!