mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,286
- 6,729
Asante kunikumbusha nahitaji msaada lakini siyo kutoka kwako unayeishi maisha ya usela. Binadamu wenzako wana matatizo gani! Kama una uwezo mkubwa hivyo wa saikolojia kwa vipi ushindwe kumsaidia mwenzi wako mkaishi pamoja! Una matatizo ya kutaka kuwadanganya wanajamii wengine unaodhani hawajitambui kama wewe.Haha anayeongelea habari za kukubaliwa na society ndo ana self esteem. Oh please!!!
Being social doesn't mean blindly following what other people think. If People didn't go against what is considered "normal" we wouldn't be here today. The knowledge, the freedom..
Kubali tu una tatizo ya kisaikolojia, seek help so you learn to think for yourself and STOP TALKING ABOUT OTHER PEOPLE'S LIVES.
TAFAKARI CHUKUA HATUA