SPANERBOY UDZUNGWA
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 622
- 125
Don't you have reversed the roles? Who has been hit by inferiority complex here? Is it not the one suffering in silence while the world out there awaits to be conquered?
Don't you have reversed the roles? Who has been hit by inferiority complex here? Is it not the one suffering in silence while the world out there awaits to be conquered?
Hakuna siku uchangudoa utakuwa 'norm' kwasababu hao mnaosema kuwa wanapenda kuwa single wanaishia kuwa machangudoa tu. Soma tafiti wanawake waliosoma USA ndiyo wanadumu kwenye ndoa lakini miaka iliyopita walikuwa kama wa waafrica walikuwa wanashindwa kutofauticha kati ya mwanamke kujitambua na maswala ya ndoa.
Nadhani wengi wetu tumetoka nje ya mada kidogo.
Kwa nilivyomwelewa mtoa mada kwa mbali ni anajaribu kuainisha sababu za baadhi ya wadada kutokua na mahusiano bora kwa muda fulani,
lakini wengi wetu tumechangia kujaribu kuonyesha kama kua single ni kosa ama la.
Naamini kua na uhusiano au la ni uamuzi binafsi wa mtu.
Kwa anaetaka kua na 'healthy relationship' naona mtoa mada amejaribu kuonyesha makosa ya kuepuka kwa wadada,ila anaetaka kua single ni maamuzi binafsi ya mtu.
Nakaribisha marekebisho wakuu.
Hoja ni hawa wadada wenye uwezo kuishi "single life" na upweke....issue ya kushindwa kwao kuwa submissive na kuwa walegevu na wanyenyekevu kwa wanaume zao, kama moja ya kosa kuu kabisa wanalolifanya hawa wadada, hoja amabayo haikubaliki.
...anyway, na mapungufu mengine yote yaliyotajwa bado ni stereotype tu, kwasababu mtu unajiuliza hivi neno 'he' likiwekwa hapo, hayo mapungufu hayata-apply?
Hoja ni hawa wadada wenye uwezo kuishi "single life" na upweke.
Whether "she/he" single life is anti-social. That what U stand for and it is a seriour psycholohical problem. The results/efects/impacts of the tendency are far beyond our imaginations. I cited a case of street children from single parents - a socio-ecinomic problem for a healthy nation.
Wewe hujui kama hujui huoni, wengi wanaishia kutembea na bosi kwenye maofisi, waume za watu, kuzaa watoto wasiojulikana baba. Wakiulizwa wanaleta hoja kama za kwako, chukua mfano mdogo wanawake wanaofundisha vyuo vikuu, mnasema eti ndiyo kujitambua.Aisee! kuwa single ni kuwa changudoa!? Kwa reasoning ya namna hii, hunioni mie kulumbana na wewe.
wana nini mkuu?Wewe hujui kama hujui huoni, wengi wanaishia kutembea na bosi kwenye maofisi, waume za watu, kuzaa watoto wasiojulikana baba. Wakiulizwa wanaleta hoja kama za kwako, chukua mfano mdogo wanawake wanaofundisha vyuo vikuu, mnasema eti ndiyo kujitambua.
Wengi wako single lakini wanamahusiano na mabosi, waume za watu nk. Mimi kwangu hawa nawaita machangudoa, na sababu za wao kuwa hivyo amezitaja mleta mada. Nachangaa hapa kunawanawake wanatetea huu ujinga eti wanasema nikujitambua. Nilitegemea mtu akisoma hekima inaongezeka, aweze kumudu maisha yake kijaamii, kimahusiano, kiuchumi, nk lakini hili linatokea kwa wanawake wachache tu, kwanini? hili ndilo lilimsukuma mleta mada kutoa sababu zake. Umenisoma?wana nini mkuu?
Mimi sijaoanisha kabisa "singleness and loneliness"Nakubaliana na wewe, ila tatizo limekuja pale mleta mada alipokuwa anaonyesha makosa wanayoyafanya hawa wadada ...
Lakini pia kama ulivyoona, tatizo lingine ni baadhi ya wachangiaji kutaka kulazimisha kuoanisha u-singleness na u-loneliness hoja ambayo nayo haikubaliki....
Mimi sijaoanisha kabisa "singleness and loneliness"
I maintain that living single - for whatever reasons - as advanced, in the main post, for educated and rich women, or be it man, is anti-social and hence a psychological disease and a vey serious one. "Waone mabingwa wakusaidie huondokane na ugonjwa huo"/
Hahaha so you can be single eeh....Bora mie am not beautifull and not educated, hainihusu hii kabisa.
Maana hapo shida ni ubyutifuli na edukesheni, kama sina basi am freeeHahaha so you can be single eeh....
Very Clever.
I do not intend to go on arguing here.Sina uhakika kama unamtambua na kumcha Mungu nikuwekee vifungu vya Biblia. Maana ungekuwa hivyo usingeandika hayo kwa herufi kubwa. Ila yatosha kukumbusha kwamba Mungu baada ya kumuumba Adam alimtoa ubavu akamuumba Eva (Hawa) wakaijaze dunia.
Thank you sister.KayScarpetta I like the way you argue
For sure "it ain't easy being a woman..." women are unpredictable, as evidenced herein (mwengeso, 2016).Thank you sister.
...it ain't easy being a woman huh? ...it is a terribly difficult task, since it consists principally in dealing with men, (Joseph conrad) - hahahaha