She is beautiful, highly educated and paid but lonely! Why?

She is beautiful, highly educated and paid but lonely! Why?

Mtu hujifunza kwa kuona na kwa kusikia, haiwezekani mtu kama wewe uwe na mtazamo hasi juu ya ndoa bila kuona wala kusikia kwa watu kama wazazi au ndugu. Hakuna mwanamke asiye penda ndoa japo yapo matatizo mengi yanayofanya watu wasiwe kwenye ndoa kama vile kuona ndoa mbaya ya wazazi au ndugu, mafunzo mabaya, kulelewa na mzazi mmoja mwenye mahusiano na wanaume wengi au matatizo ya kiafya. Ila tatizo hili la kutopenda ndoa kwanini nikubwa kwa wanawake wasomi hiyo ndiyo hoja ya mleta mada. Waache wanaotoa elimu watoe wapo wanaojifunza kitu.
Hayo ni yako!!! Nani kasema nina mtazamo hasi kuhusu ndoa?? Una matatizo ya kusoma na kuelewa??

The thread meant to portray the single life as miserable and desperate , and marriage life as an everlasting paradise. All I did was even things out, give a more realistic perspective of things.

Whatever your thoughts are about single women and their lifestyle,
they're adults,
you don't know any more than they do,
they'll do what they want your opinion is insignificant
and they're not desperate otherwise they'd have settled with just anybody.

Unaforce hamna mwanamke asiyetaka ndoa,, mbona karinga hadi hiyo 50yrs? WAACHE. WAMEAMUA. WAMEONA KULIKO KUISHI NA WEWE, WAJIKALIE PEKE YAO.

The fact that you FORCE to even talk about it makes me think you have problems. MIND YOUR OWN LIVES! .
 
Asante sana kiongozi, nimeshangaa ujumbe wangu kurukiwa na huyu dada kama vile nilimsema mtu binafsi. Nimetoa maoni yangu kuhusu makuzi ya mtoto na madhara ya wazazi kufarakana na kupigana mbele za watoto.
Na kwa nini nimshambulie mtu humu, kazi kweli kweli.
Na ndo nimekujibu sasa, wengine wazazi wetu walikuwa maPretender wazuri lakini kwa ufukunyuku wetu tulijua na hatukupenda, kama kuathiriwa utotoni tuliathiriwa ndio. unaambiwa si jukumu la mtoto kulinda hisia zako.

Otherwise tumekua, wazazi umri umeenda, tuna mahusiano yetu, the only thing nilichojifunza kutoka kwao ni kuchukia mfumo dume. Tuna wanaume Bomba kabisa wenye mtazamo kama wetu... Lakini siku wakituchenjia Hatuko tayari kuwa Mama Theresa. .
 
Mtu hujifunza kwa kuona na kwa kusikia, haiwezekani mtu kama wewe uwe na mtazamo hasi juu ya ndoa bila kuona wala kusikia kwa watu kama wazazi au ndugu. Hakuna mwanamke asiye penda ndoa japo yapo matatizo mengi yanayofanya watu wasiwe kwenye ndoa kama vile kuona ndoa mbaya ya wazazi au ndugu, mafunzo mabaya, kulelewa na mzazi mmoja mwenye mahusiano na wanaume wengi au matatizo ya kiafya. Ila tatizo hili la kutopenda ndoa kwanini nikubwa kwa wanawake wasomi hiyo ndiyo hoja ya mleta mada. Waache wanaotoa elimu watoe wapo wanaojifunza kitu.

"hakuna mwanamke asiyependa ndoa"

khaaaaa... hii umeitoa wapi aisee!?

stop stereotyping women...it is not very nice, is it?
 
Na ndo nimekujibu sasa, wengine wazazi wetu walikuwa maPretender wazuri lakini kwa ufukunyuku wetu tulijua na hatukupenda, kama kuathiriwa utotoni tuliathiriwa ndio. unaambiwa si jukumu la mtoto kulinda hisia zako.

Otherwise tumekua, wazazi umri umeenda, tuna mahusiano yetu, the only thing nilichojifunza kutoka kwao ni kuchukia mfumo dume. Tuna wanaume Bomba kabisa wenye mtazamo kama wetu... Lakini siku wakituchenjia Hatuko tayari kuwa Mama Theresa. .
Mkuu, maoni yangu sio sheria kwamba uyasome. Hili ni jukwaa huru lenye kila aina ya michango, nami nina uhuru wa kuchangia bila kuvunja sheria. Ungepotezea ingekuwa poa tu.
 
"hakuna mwanamke asiyependa ndoa"

khaaaaa... hii umeitoa wapi aisee!?

stop stereotyping women...it is not very nice, is it?
Ukiona mtu anataka kushi tofauti na jamii ujue kuna tatizo hasa la kisaikolojia huo ndiyo ukweli si lazima ukubali ukweli wangu. Hakuna mtu anayechukia ndoa bila kuwa na tatizo la kisaikolojia au kiafya,
 
Ukiona mtu anataka kushi tofauti na jamii ujue kuna tatizo hasa la kisaikolojia huo ndiyo ukweli si lazima ukubali ukweli wangu. Hakuna mtu anayechukia ndoa bila kuwa na tatizo la kisaikolojia au kiafya,

Hivi watu wote tumefanana?

Na huo unaouita ni 'ukweli' wako, si ukweli wako.

Ni maoni yako tu. Na maoni yako si ukweli. Maoni yako ni mtazamo wako.

Usichanganye mambo hapa.
 
Hivi watu wote tumefanana?

Na huo unaouita ni 'ukweli' wako, si ukweli wako.

Ni maoni yako tu. Na maoni yako si ukweli. Maoni yako ni mtazamo wako.

Usichanganye mambo hapa.
maoni yangu nikile ninacho kiamini na huo ndio ukweli wangu,. Sio lazima wewe ukubali hili ni jukwaa huru. Mtoa mada amejalibu kueleza kwanini watu hao hawaolewi na wengine wamejalibu kutoa sababu zao wewe kinachokukela ni nini? unafikiri hakuna ukweli kwenye hayo waliyo ya sema?
 
maoni yangu nikile ninacho kiamini na huo ndio ukweli wangu,. Sio lazima wewe ukubali hili ni jukwaa huru. Mtoa mada amejalibu kueleza kwanini watu hao hawaolewi na wengine wamejalibu kutoa sababu zao wewe kinachokukela ni nini? unafikiri hakuna ukweli kwenye hayo waliyo ya sema?

Hujui hata tofauti ya 'r' na 'l'.

Hujui wapi pa kuweka 'r' na 'l'.

Na imani yako, maoni yako, na maruerue yako si lazima ndo yawe uhalisia wa wengine.

Hivi umeelewa hata nilichokisema hapo?
 
Hujui hata tofauti ya 'r' na 'l'.

Hujui wapi pa kuweka 'r' na 'l'.

Na imani yako, maoni yako, na maruerue yako si lazima ndo yawe uhalisia wa wengine.

Hivi umeelewa hata nilichokisema hapo?
Achana na mimi
 
Ukiona mtu anataka kushi tofauti na jamii ujue kuna tatizo hasa la kisaikolojia huo ndiyo ukweli si lazima ukubali ukweli wangu. Hakuna mtu anayechukia ndoa bila kuwa na tatizo la kisaikolojia au kiafya,

"Hakuna mtu anayechukia ndoa bila kuwa na tatizo la kisaikolojia au kiafya"

Unao utafiti wenye takwimu unaonyesha kwamba kila mtu asiyependelea ndoa ana matatizo ya kisaikolojia?

...tatizo lako unakuwa inflexible sana.

...na pia usiwa-bully watu waishi kuendana na mitazamo yako.
 
Samahani huo ni mtizamo wangu mimi sio lazima kila mtu aone unamashiko,.
 
maoni yangu nikile ninacho kiamini na huo ndio ukweli wangu,. Sio lazima wewe ukubali hili ni jukwaa huru. Mtoa mada amejalibu kueleza kwanini watu hao hawaolewi na wengine wamejalibu kutoa sababu zao wewe kinachokukela ni nini? unafikiri hakuna ukweli kwenye hayo waliyo ya sema?

Wewe mwenyewe unakubali kwamba sio lazima kila mtu akubali huo ukweli wako...na pia umekubali kwamba watu wana sababu zao za kutokupenda ndoa, na waliotoa sababu hapa ni kama wawili tu, sasa basi kwanini una wa-label watu wote wasiopenda ndoa kwamba wana matatizo ya kisaikolojia? Nadhani hilo ndilo linakera watu.
 
Kama nimewakera watu wanisamehe ila matatizo ya kisaikolojia ni neno pana sana siwezi kueleza hapa. haikuwa lengo langu kukera mtu.
 
Kama nimewakera watu wanisamehe ila matatizo ya kisaikolojia ni neno pana sana siwezi kueleza hapa. haikuwa lengo langu kukera mtu.
Ni kweli matatizo ya kisaikolojia ni mapana kuliko tunavyoongea humu jamvini. Kila mwanadamu ana kiwango fulani cha matatizo ya kisaikolojia. Kiwango kikizidi mtu anafanya vitu kinyume na maisha na matendo ya mtu wa kawaida. Mfano mmoja ni huu wa kuishi mpweke (bila ndoa). Kutetea au kupinga maisha ya upweke ni kujivua ubinadamu (uwepo wa utashi unaosukumwa na akili na fahamu pevu tofauti na wanyama wengine, ambao pia huishi maisha ya upweke kama jamii yake itamkana).
 
Ni kweli matatizo ya kisaikolojia ni mapana kuliko tunavyoongea humu jamvini. Kila mwanadamu ana kiwango fulani cha matatizo ya kisaikolojia. Kiwango kikizidi mtu anafanya vitu kinyume na maisha na matendo ya mtu wa kawaida. Mfano mmoja ni huu wa kuishi mpweke (bila ndoa). Kutetea au kupinga maisha ya upweke ni kujivua ubinadamu (uwepo wa utashi unaosukumwa na akili na fahamu pevu tofauti na wanyama wengine, ambao pia huishi maisha ya upweke kama jamii yake itamkana).

kwahio iwapo kutetea upweke au kupinga upweke kote ni kujivua ubinadamu sasa nini kifanyike??!!!
 
Back
Top Bottom