Mkongwe Mzoefu
JF-Expert Member
- Aug 10, 2018
- 842
- 2,467
Kama huoni tofauti hiyo basi huna akili. Chadema ndio chama kikuu cha upinzani na ndio imara kupambana na udhalimu. Bila kushiriki makubaliano yeyote basi hayo makubaliano ni hila tuuKama Chadema ndo wangeenda Ikulu ingekuwa sawa lkn wameenda hawa wa vyama vingine imekuwa nongwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app