Clemence Mwandambo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2018
- 1,302
- 1,337
Mbowe alimuomba mheshimiwa raisi afanye maridhiano na wapinzani, na maridhiano yameanza, tunaanza kulalamika, sasa sijui lipi jema, au angeanza kwenda Mbowe ndo tungetambua kwamba maridhiano yameanza? Kwa nini tunalalamika wakati hatujui mpango mzima wa rais? Hivi kesho Mbowe akienda kwenye maridhiano aliyoyaomba tutamwita msaliti pia?