6321
JF-Expert Member
- Oct 16, 2016
- 649
- 1,116
Nawasalimia kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Yapata miaka 2 kwenda mi3 sasa, nimekuwa na uhusiano wa kimapenz na Tomboy (Binti Massawe), ni binti mzuri sana yuko smart pia.
Huyu binti ni mshikaji sana na yuko real kwenye mapenzi, najivunia sababu mimi ndiye mpenzi wake wa kwanza na nilimkuta bikra.
Hawa watu tusiwaogope mapenzi wanayajua sana . Achana kudate na hawa slayqueens.
Yapata miaka 2 kwenda mi3 sasa, nimekuwa na uhusiano wa kimapenz na Tomboy (Binti Massawe), ni binti mzuri sana yuko smart pia.
Huyu binti ni mshikaji sana na yuko real kwenye mapenzi, najivunia sababu mimi ndiye mpenzi wake wa kwanza na nilimkuta bikra.
Hawa watu tusiwaogope mapenzi wanayajua sana . Achana kudate na hawa slayqueens.