cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,076
- 136,563
hahaha,
nilibahatika kupata kitomboy mwanzo sikujua sbb kilikuwa kinavaa madera.
katika chattin nikauomba twende klab siku hiyo..
alitoka katupia jinsi yake kali kapendeza vzr..
hadi hapo sikuwa na wasiwasi nae ila baada ya ametupia serengeti lite 4 na mziki umekolea ndo nikasanuka!
yaani staili alizokuwa anacheza ni mapanga shaa,ikiwekwa hip hip au TRAPP anavyochana na kutupa mikono.
hapo nikaona duuhh na jinsi kalivyo kafupi na umbo dogo!nikaanza kuona noma nikahamia gizani huku nakacheki tuu...
nadhani alicheza na klabu nzima siku hiyo!
ikafikia sasa watu wanamshangaa yeye tuu!!
alivyorudi akaanza mastori kibaooo jinsi anavyoyajua maklab ya dunia nzima.nilihisi mood imekata siku hiyo!
anyways nilimrudisha kwao siku hiyo sikumgusa.
baada ya siku 3 akaniambia nimnunulie imagi 3 anakuja geto!
daahh kanatiana kwa fujo mara kajinyonye matitii km porn vile!
kajipige matako kweli kalinirusha sana stimu kwa pigo zake...