miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,414
- 10,970
Yaan alikua anacreate tension kweli aisee. Mpk wa Advance. Badala ale soseji zake anaenda kuwanolea wenzake bwenini...Hehehehe mume wao
Halaf kuna mwingine alikua black huyoo mfupiii manyokooo mweuzii tii sura ya baba. Huyu wa shule ya serikali.. alikua madarasa mawili mbele yetu... yaani ukikiangalia kama kibaba kabisaa maana mpaka mapigo yake balaa. Halaf mapanga shaa kilikua kinachezaaa. Mapunda si wangoni? Ila kamelowea tanga.
Kakawa friends na house captain wetu bana. Ilikua ni private room ya viongozi. Wote tulikua viongozi. Yaan mapunda hapanaaa... alikua anamla yule mwenzangu aiseee... kesho yake nikamwambia mapunda tutakatana na maslesha kwanza siyo dorm lako. Na mkiendelea nawatangazaaa.. dahh... niliwakoseahaga amanii... good thing wengi walikua wanawakua sasa ufuska waliuhamishia room yetu maana tulikua twalala wawili.
Kuna muda walikua wnaaliaaa kabisa. Very emotional.. ila yule mwenzangu amezaa vana. Ameolewa. Mapunda amebakiaga huko kwao tanga. Sijui amepata mwingine ama na yeye ameoa tena suruali zake kwanza panaaaaaaaaa mxieeeww.. hizi single sex schools zife tuu ikibidi