GemMaster II
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 3,466
- 10,906
Hahaha me nimeweka 20Mb huyo jamaa wa kb 70 kauzu sana.Jitu linakuunga alafu Band width linakuwekea Kb70 data upload data download.
Hahaha me nimeweka 20Mb huyo jamaa wa kb 70 kauzu sana.Jitu linakuunga alafu Band width linakuwekea Kb70 data upload data download.
hii natumiaga sana ku connect na pc through usb iyo kwa simu nmeijua leo thanksTumia intaneti kwa mfumo wa Bluetooth
Umeshawahi kutumia intaneti kwa mfumo wa Bluetooth kupitia simu yako ? Najua wengi tunaotumia simu kwenye mambo mengi tu ila wengi hatujui tunaweza share intaneti kwa kutumia Bluetooth.
Watu wengi tunatumia njia ya hotspot kuweza ku share intaneti kwenye vifaa vingine lakini sio lazima unaweza tumia Bluetooth kuweza kushare intaneti kwenye kifaa kingine kama vile simu , kompyuta pamoja na tablet.
Kwenye simu zetu Kuna kitu kinaitwa Bluetooth tethering, ni njia moja wapo ya kutumia mfumo wa wireless kuweza kusambaza upendo wa intaneti kwenye vifaa vingine kupitia Bluetooth.
Tusema una bando Kuna mtu anahitaji kushare na wewe kidogo sio lazima uwashe hotspot unaweza tumia tu Bluetooth kuweza kushare intaneti na wengine.
Wala uhitaji password kuweza kuunganisha kwenye ivyo vifaa unafanyaje ku share intaneti kwa kutumia Bluetooth kupitia simu yako [emoji116]
• ingia setting kwenye simu yako
• Kisha hotspot & tethering
• utagusa kwenye Bluetooth tethering
• hakikisha data Iko Kisha kwenye simu nyingine inahitajika kupata intaneti awashe tu Bluetooth ikishakua connected anaweza tumia intaneti bila password
Pia unaweza tumia njia hii kuunganisha na kompyuta yako kuweza kushare intaneti kwenye kompyuta kama upendi watu uwatajie password ya hotspot yako.
Umeshawahi kutumia hii njia au ndo unasikia Leo tuachie maoni yako ? View attachment 2643734
Muongoooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]unamkataa mwalimu wako jmn
Huna adabu kabisaaa weyeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We dg Kwangu ...mbna una sura laini ...ya kitoto
Nlikufundisha siku Ile umenletea assignment iliyokupiga
Kuna kitu wanaita wifi mapKwa wale wanaotumia WI-FI tufanyaje ?
Pembeni yako kuna Mtu anatumia Wifi , Alafu Wewe hujui Password yake ....
Unataka Upate internet , vipi hii njia inatumika ?
Sahau ..... kukufundisha Tena...Huna adabu kabisaaa weyeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahSahau ..... kukufundisha Tena...
Chukua simu yake utajua utatumia lugha gani kumshawishi akupe simu afu nenda sehemu ya Wifi yake na simu yako nenda sehemu ya wifi kisha scan QR Code ya WiFi yake hapo utajoin bila kujua wala kuhitaji password sema mwenye network anaweza kustukia na akablock au kuchange password hapo itakubidi kuscan tena..Kwa wale wanaotumia WI-FI tufanyaje ?
Pembeni yako kuna Mtu anatumia Wifi , Alafu Wewe hujui Password yake ....
Unataka Upate internet , vipi hii njia inatumika ?
Na bado kuna usb tethering