Bakwata wanajulikana ni moja ya Jumuiya za CCM.hakuna tuhuma nzito hapo ni ukweli kabisa chadema wanahubiri udini sana....
Alianza Mwaipaya kuwananga waisilamu na viongoxi wa Bakwata
Hivi sasa lema na ubaguzi kwa waisilamu🐒
Na kwa taarifa yako Jimbo linarudi kwa Nabii Lemahapana, hapana no hiyo haiwezekani..
Lazima anyoroshwe kwanza kwenye debe 🐒
Halafu kwenye ulimwengu wa Roho tutadeal nae kwa namna ya kipekee sana na lazma aache masuala ya udini na kujifanya yeye ni ndungu yake munngu🐒
halafu unakataa chadema hawahubiri udini 🐒Bakwata wajajulikana ni moja ya Jumuiya za CCM.
nipo hapa 🐒Na kwa taarifa yako Jimbo linarudi kwa Nabii Lema
Hicho kimama kikae Kimya kimeona kwa sasa mtawala ni wa kundi lake kimeanza kunyanyua kimdomo chake mbona wakati wa JPM kilikuwa kila siku kinapost vitu vya hovyo tu mtandaoni?kwa kuwa anayetawala ni muislamu mwenzake tena Mzanzibari ndo kinajua kukenua somo lake.kitulie
"Nataka kuwaeleza foot soldiers wa CHADEMA kitu muhimu sana. CHADEMA haiwezi kushinda Urais wa Tanzania bila ya Kura za WAISLAMU na WAKRISTO. Huu mchezo wenu wa UDINI ni double edged sword. Utawakata CCM kwa Wakristo but rest assured utawakata CDM tena SANA Kwa Waislamu. Endeleeni tu!"
====
Fatma Karume akemea UDINI wa CHADEMA na kuvunja ukimya wa muda mrefu kuhusu chama hiki kuhusishwa na mlengo wa kidini.
Kawahakikishia hawatopata kamwe kura za waislam kwa siasa zao za udini.
Kwani CHADEMA wamefanya nini?
"Nataka kuwaeleza foot soldiers wa CHADEMA kitu muhimu sana. CHADEMA haiwezi kushinda Urais wa Tanzania bila ya Kura za WAISLAMU na WAKRISTO. Huu mchezo wenu wa UDINI ni double edged sword. Utawakata CCM kwa Wakristo but rest assured utawakata CDM tena SANA Kwa Waislamu. Endeleeni tu!"
====
Fatma Karume akemea UDINI wa CHADEMA na kuvunja ukimya wa muda mrefu kuhusu chama hiki kuhusishwa na mlengo wa kidini.
Kawahakikishia hawatopata kamwe kura za waislam kwa siasa zao za udini.
Mgao wa Umeme Mfumuko wa Bei Maisha yako Juu Maji hayatoki halafu wewe unaleta upuuzi?Huyu lema wangempeleka Rwanda tu 🇷🇼 hatutaki watu wenye chuki za kidini, ukabila na ubaguzi.
Nitawashangaa sana wasukuma na wanyakyusa wakiwapigia kura chadema, nnavyowajua wasukuma huwa hawadanganyiki kirahisi.
Pwani ambayo asilimia kubwa ni waislamu, hawana time na chadema, mpo vizuri sana.
yeye mpaka kufikia kuwapa label Chadema ni wadini baada kuona nini hasa?
"Nataka kuwaeleza foot soldiers wa CHADEMA kitu muhimu sana. CHADEMA haiwezi kushinda Urais wa Tanzania bila ya Kura za WAISLAMU na WAKRISTO. Huu mchezo wenu wa UDINI ni double edged sword. Utawakata CCM kwa Wakristo but rest assured utawakata CDM tena SANA Kwa Waislamu. Endeleeni tu!"
====
Fatma Karume akemea UDINI wa CHADEMA na kuvunja ukimya wa muda mrefu kuhusu chama hiki kuhusishwa na mlengo wa kidini.
Kawahakikishia hawatopata kamwe kura za waislam kwa siasa zao za udini.
Labda muibe UCHAGUZI.nipo hapa 🐒
mjengoni atapaona tu na kupaskia this time around 🐒
MMM kasemaje tena?Fatma K Hana akili hata kidogo! Maoni binafsi ya Martin Maranja Masese kaya address kama ya CDM! Huu ni uzwazwa wa Hali ya juu! Fatma K anachochea UDINI.
yaani kwavile mtu kaamua kua shoga kwa hiyari yake yeye then eti tumkataze asipende Chadema?Lakini CHADEMA kwa sasa wana sapoti kubwa kutoka kwenye kundi la kina James Delicious
Naona Wamekuwekea katoto kabisa usihangaike kuulizia kapicha 😁
CDM ni janga kwa nchi jamaniCHADEMA hawawezi kupata kura za kundi lolote lile katika jamii lenye akili Timamu na linalojitambua.kwa sababu CHADEMA ni genge na mkusanyiko wa watu wasio na busara wala hekima wala adabu. Ni watu wanaofanya vitu kama vipofu na ndio maana chama kimekosa nuru na muelekeo kwa kuwa kinaongozwa na vipofu ambao akili zao zinawaza madaraka na vyeo tu. CHADEMA wapo tayari kushirikiana hata na shetani ilimradi wapate madaraka. CHADEMA wapo tayari kulipasua Taifa kwa Udini ,ukabila ,ukanda na hata kuchochea machafuko hapa nchini ilimradi wao wapate madaraka na vyeo.
Watanzania tunapaswa kuwapuuza CHADEMA na kuwakemea kabla hawajaharibu Taifa letu. Tuwakatae kwa nguvu zetu zote .kamwe tusiwaunge mkono kwa lolote lile .tuwaogope CHADEMA kama ukoma maana hawana dhamira njema na Taifa letu.
Mgao wa Umeme Mfumuko wa Bei Maisha yako Juu Maji hayatoki halafu wewe unaleta upuuzi?
CDM ni janga kwa nchi jamani