mrelbattawy
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 564
- 112
Ni baada ya kupigwa na chini kule dodoma ameamkia Zanzibar Leo Alfajiri majogoo kimya kimya., Tanganyika wamemuangusha na Zanzibar ndo ivyo tena Mamlaka kamili kila pembe., Ameumbuka kisiasa.,
Mi nilishangaa sana Wizara ya Wakakamavu kama ile apewe mdebwedo kama huyu! Dah, ama kweli mkubwa wa nchi hii ni dhaifu!
Toene kama ataweza kuishi kwenye hotel za kitalii huko Unguja, Zigo kubwa na mpenda makuu
Bora wakate marupurupu yake kufidia gharama zoteHivi bill ya hotel kalipa?
safi sanaKwani kakatwa mikono?ulitaka aingie na mdundiko?
hapana, hapana, hapana, muacheni huyo mzee apumzike jamani, khaJK hebu fanya makeke unda baraza zuri lenye nidhamu na adabu
wawe 30 wanatosha tunataka miaka yako ilobaki kuwe na mabadiliko makubwa kila mtu akushangae
tatizo sio CCM tatizo ni mfumo na watendaji wako
Mrudishe Salimu A salimu mpe ubunge na uwaziri