Mulikuwa munamtumilia kuisaliti Zanzibar kwa manufaa ya Tanganyika sasa mumemuangusha kwa nn asije kimya kimya? Kama vipi endelea ww kumlipia hoteli pale New Africa ili aendelee kubaki huko.,
alipokuwa waziri kiongozi wapemba waliuwawa kama wanyama ni mzoefu wa damu za watu lakini katika hili rais ameshiriki kwani kwa mujibu ya sheria majeshi ya ulinzi awawezi kushiriki katika operation ya ndani bila idhini ya amirijeshi mkuu yaani rais
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.