MwanaHaki
R I P
- Oct 17, 2006
- 2,401
- 705
mmh mkuu uliyosema ni sawa lakini hapo mwisho naona ni soo,huoni kama yanaweza kuchimbuliwa mengine,maana nnachokumbuka ni kwamba babaake ana student visa,sasa family yooote imfuate huko??lakini poa nadhani kuna mahali kuna tatizo mpaka akanyimwa hiyo visa[/QUOTE]--------
Kuhusu huyo Binti mwenye miaka 16 aliyenyimwa haki yake ya kuwa na familia yake, anaweza kumwandikia barua Senator Hillary Clinton, akalalamika, au mtu yeyote anaweza kuiandika, kwa niaba yake, na kisha kuitisha Press Conference, awaalike BBC na other International news media reps, kisha tusikie majibu yake. Kama hakuna atakayewajibishwa huko Ubalozini, sijui.
Never underestimate the power of the media, the Fourth Estate!
./Mwana wa Haki
Babukijana
Sheria ya Uhamiaji ya Marekani HAIKATAZI mwanafunzi mwenye familia kuishi na familia yake akiwa masomoni, ilhali ana uwezo.
Mimi nilisoma Marekani, naielewa vema sheria hiyo.
./Mwana wa Haki