Mkongwe Mzoefu
JF-Expert Member
- Aug 10, 2018
- 842
- 2,467
Unadhani ni rahisi kumuwazia MTU atakushambulia kwa risasi SAA 7 mchana katikati ya mji kama Dodoma? Tusilaumu tuu, jambo hilo ni gumu sanaHajafeli kabisa hata kwa akili za kawaida tu,mtu anakufuata toka bungeni wewe unashutukia mchezo alafu hata kumshutua mwenzako hufanyi? Kwa nini wakiwa maeneo mjini asinge ingia sehemu kama Petrol station alafu akasikilizia kidogo ?
Mbaya zaidi dereva anadai ni wale wale jamaa waliokuwa wanafuatilia pale St Peters.
Mimi binafsi nina mashaka makubwa sana kwa nini viongozi wa Chadema hawataki huyu dereva ahojiwe. Inawezekana wanawafahamu ishu nzima.
Sent using Jamii Forums mobile app