Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,719
- 114,061
- Thread starter
- #801
Duh...!.Pasco maswali yako yote yalishajibiwa direct au indirect
1.Serikali inaweza kumhoji mtuhumiwa kwa kumfuata alipo
2. Waliomyima stahiki zake mh lissu ndo walitake afe
3. Waliompora ubunge ndo walitaka afe
4.waliokataa uchunguzi wa kimataifa ndo wahusika wakuu
5. Yule aliyehutubia taifa wakati wa kupokea ripoti ya makinikia akadai msaliti apigwe risasi ni mtuhumiwa no.1
P