Shambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?

Afande mzoefu bwana! Sie wengine hatuna fani hizo!
Hapa jukwaani kila mtu ana uwezo wa kujiandika ana uzoefu wa fani flani au alikuwa flani, ukija kwenye uhalisia unakuta kinyume kabisa!

Huyo pasikali anasema aliwahi kuwa mwanajeshi na anadhani kuwa mwanajeshi tu kunatosha kujua silaha zote na matumizi yake na tabia za silaha hizo! Mpaka hapo unakuwa ushajua ni nini kimekusudiwa katika andiko la hivyo.
 
Mkuu Pascal Mayalla, kama inawezekana waombe mods wakusaidie kufuta posts zako zingine kama hii thread uliyoileta hapa. Kwa sisi wengine tuliobahatika kukufahamu hata kabla hawa vichaa hawajasukumiziwa madaraka, tunakushangaa sana. Naomba tu uchukue muda ujitafakari...yawezekana umeamua kuruka pamoja na ndege unaodhani unafanana nao baada ya kulazimishwa kuamini kuwa nawe ni mwenzao. Najua kwamba pamoja na mambo kuwa hivyo, moyo wako bado unasita...kila ukicheki manyoya yako unakuta hayajakaa sawasawa.

Kumbuka ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu na katika hali kama hii tunayojikuta ujanja wa panya haufukuti, huwezi kung'ata ukapulizia, unawaumiza wanaokuamini...nakutakia kila la heri!
 
Waheshimiwa wanabodi,
Niliwahi kuuliza humuhumu kuhusu mengi hayo uliyoandika lakini kwa vile wengi wetu tunapenda ku-brand kila anayepinga hoja kuhusu hili anaonekana ni mpumbavu au mwana ccm.
1.Uongozi wa Chadema hawajawahi kuripoti kwenye kituo chochote kile cha polisi kuhusu
kufuatwa na gari wasilolijua[ Dodoma ni mji mdogo tu njia za kuingia na kutoka na chache
hivyo ingekuwa rahisi sana kulipata hilo gari kama wangeripoti.
2. Mara baada ya tukio ambapo mheshimiwa Lissu alipelekwa hospitali ya Mkoa ili utaratibu ufanye kupelekwa
Muhimbili na baadaye kupelekwa nje kwa matibabu, Uongozi wa Chadema ulisema wazi wazi kuwa hawakuwa na
imani na serikali hivyo wasingempeleka Muhimbili bali wangemsafirisha wenyewe kwenda nje.
3. Hawakutoa ushirikiano wa aina yoyote ile na police na mbaya zaidi, Shahidi muhimu
ambaye ndiye alikuwa dereva wa gari hilo walimkimbizia nairobi pamoja na mgonjwa
4. Mimi sijawahi kuwa mwanajeshi ila nina fahamu kuwa kwa range waliokuwepo kina mheshimiwa, haiwezekani kwa mwanajeshi kumkosa kwa idadi ya risasi zilizotumika.
5. Hilo suala la dereva kukoswa na risasi hata moja bila ya maelezo ni ngumu kuamini.
6. Hivi inaingia akilini eti unafuatwa na watu usiowajua halafu unakimbilia nyumbani????
7. Madereva wengi wa viongozi hufundishwa defensive driving. Imekuaje kwa huyu dereva?
Kwa ufupi kuna maswali mengi kuliko majibu na hakuna kiongozi yeyote aliyoclarify haya na kilichokuwepo ni kwamba serikali inahusika.
Hivi nimekuwa nikijiuliza hivi Mh. TL alikuwa tishio kwa serikali?
Jee uchaguzi ulikuwa unakaribia?
Hivi Mh. Lowassa na Mrema[kwa wakati wake] hawakuwa tishio? Mbona wanadunda mpaka leo?
Mimi ninaamini kuwa majibu yote haya yatajulikana siku moja ila nina uhakika kuna watu ambao sasa wanapiga makelele watainamisha vichwa vyao chini.
Maswali yako mengi hapo juu yanaonesha jinsi ulivyo na mahaba ya serikali hii ya ccm,
Ni ukweli usiopingika kwamba tunaamini serikali walikuwa na nia ya kumuua Tundu Lissu,
Ni ukweli usiopingika kwamba serikali wangemmalizia endapo wangeachiwa wampeleke Nairobi
Serikali walitaka kutumia ndege ndogo ambayo ingetumia masaa mawili kufika Nairobi, muda huu ulitosha kumfanya TL apoteze maisha
Chadema wakaamua kuchukua Special Jet ambayo ilitumia dakika 45
Raisi JPM ndie aliyesema Polisi wamshughulikie, unawezaje kusema serikali haihusiki ?.
 
Waheshimiwa wanabodi,
Niliwahi kuuliza humuhumu kuhusu mengi hayo uliyoandika lakini kwa vile wengi wetu tunapenda ku-brand kila anayepinga hoja kuhusu hili anaonekana ni mpumbavu au mwana ccm.
1.Uongozi wa Chadema hawajawahi kuripoti kwenye kituo chochote kile cha polisi kuhusu
kufuatwa na gari wasilolijua[ Dodoma ni mji mdogo tu njia za kuingia na kutoka na chache
hivyo ingekuwa rahisi sana kulipata hilo gari kama wangeripoti.
2. Mara baada ya tukio ambapo mheshimiwa Lissu alipelekwa hospitali ya Mkoa ili utaratibu ufanye kupelekwa
Muhimbili na baadaye kupelekwa nje kwa matibabu, Uongozi wa Chadema ulisema wazi wazi kuwa hawakuwa na
imani na serikali hivyo wasingempeleka Muhimbili bali wangemsafirisha wenyewe kwenda nje.
3. Hawakutoa ushirikiano wa aina yoyote ile na police na mbaya zaidi, Shahidi muhimu
ambaye ndiye alikuwa dereva wa gari hilo walimkimbizia nairobi pamoja na mgonjwa
4. Mimi sijawahi kuwa mwanajeshi ila nina fahamu kuwa kwa range waliokuwepo kina mheshimiwa, haiwezekani kwa mwanajeshi kumkosa kwa idadi ya risasi zilizotumika.
5. Hilo suala la dereva kukoswa na risasi hata moja bila ya maelezo ni ngumu kuamini.
6. Hivi inaingia akilini eti unafuatwa na watu usiowajua halafu unakimbilia nyumbani????
7. Madereva wengi wa viongozi hufundishwa defensive driving. Imekuaje kwa huyu dereva?
Kwa ufupi kuna maswali mengi kuliko majibu na hakuna kiongozi yeyote aliyoclarify haya na kilichokuwepo ni kwamba serikali inahusika.
Hivi nimekuwa nikijiuliza hivi Mh. TL alikuwa tishio kwa serikali?
Jee uchaguzi ulikuwa unakaribia?
Hivi Mh. Lowassa na Mrema[kwa wakati wake] hawakuwa tishio? Mbona wanadunda mpaka leo?
Mimi ninaamini kuwa majibu yote haya yatajulikana siku moja ila nina uhakika kuna watu ambao sasa wanapiga makelele watainamisha vichwa vyao chini.
Hoja yako haina mashiko mkuu.

Unasemaje kuwa hawakutoa ushirikiano kwa Polisi wakati mara zote wameambiwa sehemu ambamo wangempata dereva?

Unasema walikua wanakimbizwa na watu wakakimbilia nyumbani.Hii sio kweli walifuatwa, na ukumbuke wanapoishi kila mtu anagari linalofanania gari lililokua linawafuata hivyo ni ngumu kuhisi kuwa mnafuatwa.

Defensive mechanism ya driver ni pale alipoona gari lililowafuata linapack karibu yao, na ndipo dereva alivyomshauri Lissu asishuke.

Walinzi walikua wapi?Camera?Haya ndio maswali ya msingi hapa.
 
Ila Mkuu hii posti uliteleza! Unaacha kuuliza swali la msingi la CCTV kuzimwa, walinzi wa serikali mchana kweupe kutokuwepo unahoji dereva?
Kweli, kwa kutumia ushahidi wa camera hili swala lingekua lepesi lakini hoja ya camera inakwepwa na kila mtu.
 
Kweli, kwa kutumia ushahidi wa camera hili swala lingekua lepesi lakini hoja ya camera inakwepwa na kila mtu.
Camera bongo, swala ni Lissu kusoma alama za nyakati kabla angejilinda.
Yaliyotokea yametokea hatuhukumu nani kafanya coincidence nyingi inawezekana pia wenzake kwenye chama chake wamehusika na kuiangushia mzigo serikali.
Matokeo huyu bwana anauguza majeraha mpk leo.
Familia na waliomchagua ndio looser
 
Camera bongo, swala ni Lissu kusoma alama za nyakati kabla angejilinda.
Yaliyotokea yametokea hatuhukumu nani kafanya coincidence nyingi inawezekana pia wenzake kwenye chama chake wamehusika na kuiangushia mzigo serikali.
Matokeo huyu bwana anauguza majeraha mpk leo.
Familia na waliomchagua ndio looser
Ndio bongo, kwani Mo alipatakana kwa camera za Msumbiji?
 
Pascal Mayalla naijibu heading ya uzi wako.

Kilichokufikirisha hata uandike uzi huu ni "UJINGA" (simaanishi kuwa wewe ni mjinga, la hasha) yaani subject ya uzi wako inawalenga "WAJINGA" wanaofikiri kumpata dereva wa Lissu kutawapatia jibu la upatikanaji wa wasiojulikana!

Ni WAJINGA kwa kuwa nia zao zinaonekana bayana kuwa ni ovu! Na kwa nia hiyo ovu wajinga hao wanadhani jamii haina haki ya asili ya kimahakama kwamba haiwezi kuhukumu matukio wayaonayo machoni pao.

Naam ni wajinga, nasema tena "ni wajinga" na ndio maana wanatafuta mwerevu awasaidie kuficha ujinga wao!
Very unfortunate badala ya kuwafichia ujinga wao umeu expose upumbavu wao.
 
T
Hoja yako haina mashiko mkuu.

Unasemaje kuwa hawakutoa ushirikiano kwa Polisi wakati mara zote wameambiwa sehemu ambamo wangempata dereva?

Unasema walikua wanakimbizwa na watu wakakimbilia nyumbani.Hii sio kweli walifuatwa, na ukumbuke wanapoishi kila mtu anagari linalofanania gari lililokua linawafuata hivyo ni ngumu kuhisi kuwa mnafuatwa.

Defensive mechanism ya driver ni pale alipoona gari lililowafuata linapack karibu yao, na ndipo dereva alivyomshauri Lissu asishuke.

Walinzi walikua wapi?Camera?Haya ndio maswali ya msingi hapa.
Taratibu za kuripo jambo lolote polisi unazifahamu au ni ushabiki tuu??
 
Suala la
Hoja yako haina mashiko mkuu.

Unasemaje kuwa hawakutoa ushirikiano kwa Polisi wakati mara zote wameambiwa sehemu ambamo wangempata dereva?

Unasema walikua wanakimbizwa na watu wakakimbilia nyumbani.Hii sio kweli walifuatwa, na ukumbuke wanapoishi kila mtu anagari linalofanania gari lililokua linawafuata hivyo ni ngumu kuhisi kuwa mnafuatwa.

Defensive mechanism ya driver ni pale alipoona gari lililowafuata linapack karibu yao, na ndipo dereva alivyomshauri Lissu asishuke.

Walinzi walikua wapi?Camera?Haya ndio maswali ya msingi hapa.
Tuache ushabiki na tutumie logic ya kawaida tu.
1. Jee taratibu za kuripoti jambo lolote lile polisi ni lipi?
2. Jee lilifuatwa?
3 Mheshimiwa alikuwa na simu ya mkononi, jee alipiga simu polisi wakati wakifuatwa na gari lisilojulikana?
4. Dereva alimshauri mh. asishuke, mbona yeye alishuka?
5. Kwa nini dereva alijiingiza kwenye mtego wa kusimama huku nyuma yake kuna gari hilo?
Ukweli ni kwamba bila ya shaka kuna maswali mengi ambayo bila ya kuwa na majibu sahihi inakuwa vigumu kutupa lawama.
Ninavyofahamu mimi tukio lolote lile la kijinai au linaweza kuhatarisha amani/uhai nk. Kwanza linapaswa kuripotiwa polisi ambapo hupewa kumb na ufuatiliaji huanza kutegemea na aina ya tukio. Kosa kubwa lililofanyika ni kutoiamini polisi kwa kuripoti halafu polisi hao hao ambao hawaaminiwa kulaumiwa kwa kutoshughulikia tukia.
 
Suala la

Tuache ushabiki na tutumie logic ya kawaida tu.
1. Jee taratibu za kuripoti jambo lolote lile polisi ni lipi?
2. Jee lilifuatwa?
3 Mheshimiwa alikuwa na simu ya mkononi, jee alipiga simu polisi wakati wakifuatwa na gari lisilojulikana?
4. Dereva alimshauri mh. asishuke, mbona yeye alishuka?
5. Kwa nini dereva alijiingiza kwenye mtego wa kusimama huku nyuma yake kuna gari hilo?
Ukweli ni kwamba bila ya shaka kuna maswali mengi ambayo bila ya kuwa na majibu sahihi inakuwa vigumu kutupa lawama.
Ninavyofahamu mimi tukio lolote lile la kijinai au linaweza kuhatarisha amani/uhai nk. Kwanza linapaswa kuripotiwa polisi ambapo hupewa kumb na ufuatiliaji huanza kutegemea na aina ya tukio. Kosa kubwa lililofanyika ni kutoiamini polisi kwa kuripoti halafu polisi hao hao ambao hawaaminiwa kulaumiwa kwa kutoshughulikia tukia.
jinga kabisa,lissu alilia kufatiliwa mambosasa akasema hafatilii udaku wa mtandaoni kama hawajareport polisi baadaye kichaa musiba akasema kina mbowe ni hatari kwa usalama wa taifa jamaa akasema HATA VICHAA TUNAWASIKILIZA,ben saa 8 alillalamika akatoa hadi namba ya simu iliyomtishia maisha.member wa hapa anaitwa TUMAINI EL yupo hapa jamvini na hakuna kilichofanyika
 
jinga kabisa,lissu alilia kufatiliwa mambosasa akasema hafatilii udaku wa mtandaoni kama hawajareport polisi baadaye kichaa musiba akasema kina mbowe ni hatari kwa usalama wa taifa jamaa akasema HATA VICHAA TUNAWASIKILIZA,ben saa 8 alillalamika akatoa hadi namba ya simu iliyomtishia maisha.member kaiitwa pia TUMAINIEL yupo hapa jamvini na hakuna kilichofanyika
Ninaona tatizo kubwa ni mawazo mgando ambayo wengi wetu tunayo bila kufahamu.
Kwa wengi wetu sisi kila kitu tumekipoliticise na matokeo yake hakuna namna ya kujadiliana kwa kutumia mantiki bila kutukanana, kudhalilishana na kupeana majina ambayo hatukupewa na wazazi wetu au kusajiliwa kwa nguvu kwenye chama cha siasa.
 
Su
jinga kabisa,lissu alilia kufatiliwa mambosasa akasema hafatilii udaku wa mtandaoni kama hawajareport polisi baadaye kichaa musiba akasema kina mbowe ni hatari kwa usalama wa taifa jamaa akasema HATA VICHAA TUNAWASIKILIZA,ben saa 8 alillalamika akatoa hadi namba ya simu iliyomtishia maisha.member wa hapa anaitwa TUMAINI EL yupo hapa jamvini na hakuna kilichofanyika
Suala ni jee aliripoti polisi rasmi na kupewa RB? Kulalamika na kuripoti tukio ni vitu tofauti.
 
jinga kabisa,lissu alilia kufatiliwa mambosasa akasema hafatilii udaku wa mtandaoni kama hawajareport polisi baadaye kichaa musiba akasema kina mbowe ni hatari kwa usalama wa taifa jamaa akasema HATA VICHAA TUNAWASIKILIZA,ben saa 8 alillalamika akatoa hadi namba ya simu iliyomtishia maisha.member wa hapa anaitwa TUMAINI EL yupo hapa jamvini na hakuna kilichofanyika
Mjinga akieleweshwa anakuwa mwerevu lakini mpumbavu hata umueleweshe namna gani hawezi kuwa mwerevu.
Sasa mimi umeniita mjinga sababu kubwa ni kwamba sikubaliani na wewe na hujibu hoja kimantiki . Jee, wewe nikuite nani kaka?
 
Back
Top Bottom