Shambulio la Lissu kupigwa risasi: Polepole aibua mapya

Shambulio la Lissu kupigwa risasi: Polepole aibua mapya

polepole.jpg

Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenenzi, Humphrey Polepole amefunguka na kuhoji kuhusu kitendo cha Chadema kumficha dereva aliyeshuhudia tukio zima la shambulio la risasi kwa mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu na amewataka wananchi wa jimbo la Siha kumhoji Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe aeleze sababu za kufanya hivyo.

Ametaka kuhoji siri iliyopo inayowafanya Chadema wamfiche dereva huyo wakati anahitajika kuisaidia Serikali kufumbua ukweli na kumjua aliyehusika katika shambulio hilo

Hivi huyu polepole yupo timamu kweli? Akipatikana dereva wa lissu hao watu wasiojulikana watapatikana baada ya kuhojiwa? Vipi dereva wa lissu angekufa ktk shambulio lile ina maana intelijensia ya jeshi la polisi ingekuwa nayo imekwisha?

Siasa za ccm kupitia huyu jamaa ni mufilisi kabisa.

Mimi huyu Ndugu Polepole huwa simuwazii sana maana nikishasomaga hii post nanyamazaga kimya, hajitambuui atajitambua wakati huu ukifika. Kama itakumbukwa kabla hajawa huyu wa leo wakutembelea kwa MUDA VX yenye kiza na tubendera, aliwahi kutamka kuwa "BILA MSAADA WA POLISI CCM HAIWEZI KUSHINDA KWENYE SANDUKU LA KURA" je muda huu anafanya nini? Hivyo hata hili la Lissu liko wazi, Maana walitaka wamhoji lissu akawapa Taratibu za kufuata wakakaa kimya hata kusema alichosema lissu si taratibu sahihi wapi, ila wanamtaka ili baadae waedit maelezo yao au ? Aliyetaka kuuwawa yuko hai si wafuate taratibu wamhoji hofu ya nini?
upload_2018-1-29_12-57-35.png
 
Muhimu kuliko yote ni kwamba TAML anaendelea vizuri na matibabu licha kumiminiwa na kujeruhiwa vibaya kwa risasi. Akili ya kawaida kabisa ilibidi kuweka mbali siasa za kijinga na kumgeukia Mungu. Hizo tabia za slowslow zinajenga utamaduni mbaya kwenye jamii na mwisho wake huwa ni kuangukia kwenye chuki, visasi, machafuko na mauaji. Nimewaambieni mapema.
 
polepole.jpg

Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenenzi, Humphrey Polepole amefunguka na kuhoji kuhusu kitendo cha Chadema kumficha dereva aliyeshuhudia tukio zima la shambulio la risasi kwa mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu na amewataka wananchi wa jimbo la Siha kumhoji Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe aeleze sababu za kufanya hivyo.

Ametaka kuhoji siri iliyopo inayowafanya Chadema wamfiche dereva huyo wakati anahitajika kuisaidia Serikali kufumbua ukweli na kumjua aliyehusika katika shambulio hilo

Hivi huyu polepole yupo timamu kweli? Akipatikana dereva wa lissu hao watu wasiojulikana watapatikana baada ya kuhojiwa? Vipi dereva wa lissu angekufa ktk shambulio lile ina maana intelijensia ya jeshi la polisi ingekuwa nayo imekwisha?

Siasa za ccm kupitia huyu jamaa ni mufilisi kabisa.

Wako busy kusema wanataka Kampeni za kuheshimiana lakini wakishakosa hoja basi huja na viroja na siasa za kuchafuana.Shame on them.Mtu aliyepata heshima akifanya upumbavu heshima yote inashuka kama kaptula isiyo na vifungo
 
hivi hakuna yeyote katika zile apartment aliye shuhudia hili tukio na kuchukua kapicha au video ya shambulio na kupost ili nguvu ya umma ifanyekazi...
kwanini unatafuta wengine wakati dereva alikua hatua chache tu
pili kama mnaona shida kumleta huko aliko mlekodini hata video atuambie ilikuaje sio tufanye ujinga wa kutafuta kitu nje wakat inajulikana kabisa kitu kipo ndani
 
hivi hakuna yeyote katika zile apartment aliye shuhudia hili tukio na kuchukua kapicha au video ya shambulio na kupost ili nguvu ya umma ifanyekazi...
Walisema tusijadili Swala hili wanaanza wenyewe Haya Maswali ya kujiuuliza machache 1.kwannini walinzi kwenye geti la kuingiliza makazi waliondolewa 2. kwninin CCTV jirani Zimeondolewa 3.kwa naibu spika ni jirani na nyumba ya Mheshimiwa Lissu kuna walinzi masaa 24 siku hiyo hawakuwepo? am masiko waliweka pamba n.k
 
Wewe fala sana, unafikiri cctv pekee ndo ushahidi kamili,? Mtoeni dereva mafichoni, aache kuishi kama popo.

Kama na yeye ni sehemu ya mpango wa mwenyekiti wenu wa maisha aseme tu
Wewe unamtaka dereva kwa ajili ya kitu gani wkati BASHITE alikuwepo kwenye eneo la tukio na anamtafuta dereva ili ushahidi upotee
 
Dereva wa Lisu anajua kila kitu lakini amefichwa.
unajua maana ya kufichwa? Yaani mtu anayejulikana alipo anakuwaje amefichwa?

Ukisoma Maelezo ya hukumu iliyotolewa na Jaji Thokozile Masipa dhidi ya Oscar Pistorius kwenye kesi ya Mauaji ya aliyekuwa Mke wake Reeva SteenKamp, Jaji Masipa alisema kwenye kesi ile ushahidi wa kuaminika ni wa Mashine za Kielektroniki kuliko ule wa binadamu.

Leo kwenye suala la Lissu mashine za Kielektroniki zingetusaidia zaidi kuliko huyo dereva "mnayemsaka" na kutaka kumgeuza mbuzi wa kafara katika kukwepa jukumu lenu. CCTV iliyokuwepo wakati wa tukio mmeing'oa badala ya kuitumia katika kupata undani na ukweli wa tukio. Hivi kampuni za simu zingeshindwa kusaidia kuliko Dereva wa Lissu mnayemsaka?
 
unajua chmaana ya kufichwa? Yaani mtu anayejulikana alipo anakuwaje amefichwa?

Ukisoma Maelezo ya hukumu iliyotolewa na Jaji Thokozile Masipa dhidi ya Oscar Pistorius kwenye kesi ya Mauaji ya aliyekuwa Mke wake Reeva SteenKamp, Jaji Masipa alisema kwenye kesi ile ushahidi wa kuaminika ni wa Mashine za Kielektroniki kuliko ule wa binadamu.

Leo kwenye suala la Lissu mashine za Kielektroniki zingetusaidia zaidi kuliko huyo dereva "mnayemsaka" na kutaka kumgeuza mbuzi wa kafara katika kukwepa jukumu lenu. CCTV iliyokuwepo wakati wa tukio mmeing'oa badala ya kuitumia katika kupata undani na ukweli wa tukio. Hivi kampuni za simu zingeshindwa kusaidia kuliko Dereva wa Lissu mnayemsaka?
Dereva wa Lisu + CCTV camera ushahidi unakamilika kabisa.

Sielewi ni kwa nini dereva wa Lisu hataki kueleza aliyoyaona siku ya shambulio.
 
unajua chmaana ya kufichwa? Yaani mtu anayejulikana alipo anakuwaje amefichwa?

Ukisoma Maelezo ya hukumu iliyotolewa na Jaji Thokozile Masipa dhidi ya Oscar Pistorius kwenye kesi ya Mauaji ya aliyekuwa Mke wake Reeva SteenKamp, Jaji Masipa alisema kwenye kesi ile ushahidi wa kuaminika ni wa Mashine za Kielektroniki kuliko ule wa binadamu.

Leo kwenye suala la Lissu mashine za Kielektroniki zingetusaidia zaidi kuliko huyo dereva "mnayemsaka" na kutaka kumgeuza mbuzi wa kafara katika kukwepa jukumu lenu. CCTV iliyokuwepo wakati wa tukio mmeing'oa badala ya kuitumia katika kupata undani na ukweli wa tukio. Hivi kampuni za simu zingeshindwa kusaidia kuliko Dereva wa Lissu mnayemsaka?
Ni wajinga Wanadhani uwezo wetu wa Kufikiri ni mdogo Kwasababu Tume kaa kimya ''Giving a Shield to Thugs it is a Shame''
 
polepole.jpg

Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenenzi, Humphrey Polepole amefunguka na kuhoji kuhusu kitendo cha Chadema kumficha dereva aliyeshuhudia tukio zima la shambulio la risasi kwa mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu na amewataka wananchi wa jimbo la Siha kumhoji Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe aeleze sababu za kufanya hivyo.

Ametaka kuhoji siri iliyopo inayowafanya Chadema wamfiche dereva huyo wakati anahitajika kuisaidia Serikali kufumbua ukweli na kumjua aliyehusika katika shambulio hilo

Hivi huyu polepole yupo timamu kweli? Akipatikana dereva wa lissu hao watu wasiojulikana watapatikana baada ya kuhojiwa? Vipi dereva wa lissu angekufa ktk shambulio lile ina maana intelijensia ya jeshi la polisi ingekuwa nayo imekwisha?

Siasa za ccm kupitia huyu jamaa ni mufilisi kabisa.
Hivi kuna anayeujua mtiririko wa elimu wa Polepole ?
 
CCTV CAMERA IKO WAPI?NANI ANAHUSIKA NAKUFICHA CCTV CAMERA?wapi walinzi wa area d siku hyo?nani aliwatoa kwnye lindo?gari iliyofanya tukio nani mmiliki wake?polepole aje nahayo majibu watz cyo wajinga
Polepole atambue kwamba hana kinga yoyote .
 
Back
Top Bottom