MANAKE MKARI
JF-Expert Member
- Jan 25, 2011
- 281
- 211
Shamba linahitajika mkoa wa Pwani maeneo yafuatayo: Kwala, Dutumi, Zegero, Mafisi au Mperamumbi. Ukubwa ni kuanzia eka(acres) 4 hadi 10. Upendeleo ni shamba ambalo halijalimwa (virgin) ila hata lililokwisha limwa ni sawa. Shamba lisiwe sehemu ya wafugaji kama kijiji kina mpango bora wa matumizi ya ardhi.
Ni vizuri ukataja bei kabla ya kwenda chemba
Ni vizuri ukataja bei kabla ya kwenda chemba