Habari zenu wakuu.
Uchumi wa kipindi hiki naona unabana, kutegemea chanzo kimoja cha mapato unakuwa mtihani mkubwa sana na umri unaenda kasi. Nataka nifanye uwekezaji kwenye ufugaji na kilimo.
Ninahitaji shamba litakalofaa kwa kilimo na ufugaji pia. Eneo liwe tambarare au karibia kuwa na tambarare, Pia lisiwe mbali na Makazi ya watu.
● Ukubwa wa eneo usipungue heka kumi. Ziwe kuanzia heka kumi na kuendelea.
● Eneo liwe wilaya ya kisarawe, kuanzia kazimzumbwi na isizidi Masaki.
● Umbali kutoka barabara kuu usizidi kilometa mbilli (2). (BARABARA YA KWENDA MWANARUMANGO)
- Mwenye eneo karibu PM.
Uchumi wa kipindi hiki naona unabana, kutegemea chanzo kimoja cha mapato unakuwa mtihani mkubwa sana na umri unaenda kasi. Nataka nifanye uwekezaji kwenye ufugaji na kilimo.
Ninahitaji shamba litakalofaa kwa kilimo na ufugaji pia. Eneo liwe tambarare au karibia kuwa na tambarare, Pia lisiwe mbali na Makazi ya watu.
● Ukubwa wa eneo usipungue heka kumi. Ziwe kuanzia heka kumi na kuendelea.
● Eneo liwe wilaya ya kisarawe, kuanzia kazimzumbwi na isizidi Masaki.
● Umbali kutoka barabara kuu usizidi kilometa mbilli (2). (BARABARA YA KWENDA MWANARUMANGO)
- Mwenye eneo karibu PM.