Shamba linahitajika Wilaya ya Kisarawe

1302-40

Member
May 23, 2017
28
86
Habari zenu wakuu.

Uchumi wa kipindi hiki naona unabana, kutegemea chanzo kimoja cha mapato unakuwa mtihani mkubwa sana na umri unaenda kasi. Nataka nifanye uwekezaji kwenye ufugaji na kilimo.
Ninahitaji shamba litakalofaa kwa kilimo na ufugaji pia. Eneo liwe tambarare au karibia kuwa na tambarare, Pia lisiwe mbali na Makazi ya watu.

● Ukubwa wa eneo usipungue heka kumi. Ziwe kuanzia heka kumi na kuendelea.

● Eneo liwe wilaya ya kisarawe, kuanzia kazimzumbwi na isizidi Masaki.

● Umbali kutoka barabara kuu usizidi kilometa mbilli (2). (BARABARA YA KWENDA MWANARUMANGO)

- Mwenye eneo karibu PM.
 
Habari zenu wakuu.

Uchumi wa kipindi hiki naona unabana, kutegemea chanzo kimoja cha mapato unakuwa mtihani mkubwa sana na umri unaenda kasi. Nataka nifanye uwekezaji kwenye ufugaji na kilimo.
Ninahitaji shamba litakalofaa kwa kilimo na ufugaji pia. Eneo liwe tambarare au karibia kuwa na tambarare, Pia lisiwe mbali na Makazi ya watu.

● Ukubwa wa eneo usipungue heka kumi. Ziwe kuanzia heka kumi na kuendelea.

● Eneo liwe wilaya ya kisarawe, kuanzia kazimzumbwi na isizidi Masaki.

● Umbali kutoka barabara kuu usizidi kilometa mbilli (2). (BARABARA YA KWENDA MWANARUMANGO)

- Mwenye eneo karibu PM.
Nipe 50m ila eka 4 hili lipo luhangai mwez ujao mavuno
IMG_20200501_141912_4.jpeg
IMG_20200425_140838_4.jpeg
IMG_20200423_131630_4.jpeg
IMG_20200423_131653_8.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wakuu.

Uchumi wa kipindi hiki naona unabana, kutegemea chanzo kimoja cha mapato unakuwa mtihani mkubwa sana na umri unaenda kasi. Nataka nifanye uwekezaji kwenye ufugaji na kilimo.
Ninahitaji shamba litakalofaa kwa kilimo na ufugaji pia. Eneo liwe tambarare au karibia kuwa na tambarare, Pia lisiwe mbali na Makazi ya watu.

● Ukubwa wa eneo usipungue heka kumi. Ziwe kuanzia heka kumi na kuendelea.

● Eneo liwe wilaya ya kisarawe, kuanzia kazimzumbwi na isizidi Masaki.

● Umbali kutoka barabara kuu usizidi kilometa mbilli (2). (BARABARA YA KWENDA MWANARUMANGO)

- Mwenye eneo karibu PM.
Nasubiri wadau naona unamahitaji kama yangu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wakuu.

Uchumi wa kipindi hiki naona unabana, kutegemea chanzo kimoja cha mapato unakuwa mtihani mkubwa sana na umri unaenda kasi. Nataka nifanye uwekezaji kwenye ufugaji na kilimo.
Ninahitaji shamba litakalofaa kwa kilimo na ufugaji pia. Eneo liwe tambarare au karibia kuwa na tambarare, Pia lisiwe mbali na Makazi ya watu.

● Ukubwa wa eneo usipungue heka kumi. Ziwe kuanzia heka kumi na kuendelea.

● Eneo liwe wilaya ya kisarawe, kuanzia kazimzumbwi na isizidi Masaki.

● Umbali kutoka barabara kuu usizidi kilometa mbilli (2). (BARABARA YA KWENDA MWANARUMANGO)

- Mwenye eneo karibu PM.
shamba lipo mfuru

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wakuu.

Uchumi wa kipindi hiki naona unabana, kutegemea chanzo kimoja cha mapato unakuwa mtihani mkubwa sana na umri unaenda kasi. Nataka nifanye uwekezaji kwenye ufugaji na kilimo.
Ninahitaji shamba litakalofaa kwa kilimo na ufugaji pia. Eneo liwe tambarare au karibia kuwa na tambarare, Pia lisiwe mbali na Makazi ya watu.

● Ukubwa wa eneo usipungue heka kumi. Ziwe kuanzia heka kumi na kuendelea.

● Eneo liwe wilaya ya kisarawe, kuanzia kazimzumbwi na isizidi Masaki.

● Umbali kutoka barabara kuu usizidi kilometa mbilli (2). (BARABARA YA KWENDA MWANARUMANGO)

- Mwenye eneo karibu PM.
Ofa yako ni sh ngapi kiongozi zipo heka 10 masaki pale
 
Habari zenu wakuu.

Uchumi wa kipindi hiki naona unabana, kutegemea chanzo kimoja cha mapato unakuwa mtihani mkubwa sana na umri unaenda kasi. Nataka nifanye uwekezaji kwenye ufugaji na kilimo.
Ninahitaji shamba litakalofaa kwa kilimo na ufugaji pia. Eneo liwe tambarare au karibia kuwa na tambarare, Pia lisiwe mbali na Makazi ya watu.

● Ukubwa wa eneo usipungue heka kumi. Ziwe kuanzia heka kumi na kuendelea.

● Eneo liwe wilaya ya kisarawe, kuanzia kazimzumbwi na isizidi Masaki.

● Umbali kutoka barabara kuu usizidi kilometa mbilli (2). (BARABARA YA KWENDA MWANARUMANGO)

- Mwenye eneo karibu PM.
Sawa mkuu. Mawasiliano?
 
Habari zenu wakuu.

Uchumi wa kipindi hiki naona unabana, kutegemea chanzo kimoja cha mapato unakuwa mtihani mkubwa sana na umri unaenda kasi. Nataka nifanye uwekezaji kwenye ufugaji na kilimo.
Ninahitaji shamba litakalofaa kwa kilimo na ufugaji pia. Eneo liwe tambarare au karibia kuwa na tambarare, Pia lisiwe mbali na Makazi ya watu.

● Ukubwa wa eneo usipungue heka kumi. Ziwe kuanzia heka kumi na kuendelea.

● Eneo liwe wilaya ya kisarawe, kuanzia kazimzumbwi na isizidi Masaki.

● Umbali kutoka barabara kuu usizidi kilometa mbilli (2). (BARABARA YA KWENDA MWANARUMANGO)

- Mwenye eneo karibu PM.
Ingekuwa mkuranga boss ningekupa heka 20 zina mto pembezoni kwa 13m unanilipa nusu nusu kama pesa kamili haipo.
 
Back
Top Bottom