Shamba la mihogo tupu linapatikana

Shamba la mihogo tupu linapatikana

Baba jayaron

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2015
Posts
4,648
Reaction score
6,405
Habari wajasiliamali wenzangu.

Ninashamba la mihogo tupu kama hekari tano5 nilisikia kua wachina wanahitaji mihogo kutoka kwetu tanzania mwenye connection naomba ani connect na hao wachina tufanye biashara.

Ahsanteni
 
Habari wajasiliamali wenzangu.

Ninashamba la mihogo tupu kama hekari tano5.

Nilisikia kua wachina wanahitaji mihogo kutoka kwetu tanzania mwenye connection naomba ani connect na hao wachina tufanye biashara.

Ahsanteni
Mkuu soko la muhogo lipo sana tu soko la hapa dar es salaam tu ni kubwa sana hizo ekari tano waweza kuziuza ndani ya dk 10.
 
Back
Top Bottom