Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,626
- 106,588
Nimemiss maisha yale tuliyokulia (eneo letu) obvious watu wengi tumekulia mazingira haya kutoa vijana wa dar.
Unawezakuta huyo dogo mlangoni ndio mtoto wa kwaza analinda wadogo zake na nyumba hapo. Unakuta wakienda kucheza wanakua wanaenda kwa zamu zamu kuagali nyumba kama ipo salama..mama yupo zake sokoni kuuza mihogo aliyoichimba asubuhi au yupo kulima vibarua huko
Unawezakuta huyo dogo mlangoni ndio mtoto wa kwaza analinda wadogo zake na nyumba hapo. Unakuta wakienda kucheza wanakua wanaenda kwa zamu zamu kuagali nyumba kama ipo salama..mama yupo zake sokoni kuuza mihogo aliyoichimba asubuhi au yupo kulima vibarua huko