Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,542
- 2,174
- Thread starter
- #61
Umeeleweka sana zaidi mkuu,Shaka Hamdu Shaka
Mimi ni CHADEMA ila nimekuwa nafuatilia kazi zake naona anakitu ndani yake
Nimtu anasimama na wananchi wakati wote kama Mwl Nyerere alivyokuwa
Nataka hao wanaotafuna kodi zetu wakamatwe na sheria ifanye yake