Mwanahabari wa Taifa
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 1,450
- 799
Katibu wa NEC Itikadi & Uenezi CCM-Taifa Mhe Shaka Hamdu Shaka aisifu Mahakama kesi ya Freeman Mbowe, asisitiza Serikali ya Rais Samia ni ya kidemokrasia na inajali Uhuru wa Mahakama
"Nimeona vibwagizo vya wenzetu huko mitandaoni kuwa wameruhusiwa kuingia mahakamani na simu pamoja na kufuatilia kesi ya kiongozi wao leo.
Niwaambie huo ndio Uhuru wa Mahakama na ndio Utawala wa Sheria kama msingi wa Demokrasia ya kweli chini ya utawala wa CCM na serikali makini inayoongozwa na Rais hodari, jasiri na mwenye uthubutu Mhe Samia Suluhu Hassan.
Katika nchi za kidekta haya tunayoyaona leo Mahakama za Tanzania huko hayapo " alisisitiza Shaka
Shaka Hamdu Shaka
Katibu wa NEC Itikadi & Uenezi
Ziara Katibu Mkuu CCM
16 Septemba, 2021 Lindi.
"Hakuna kama Samia"
"Nimeona vibwagizo vya wenzetu huko mitandaoni kuwa wameruhusiwa kuingia mahakamani na simu pamoja na kufuatilia kesi ya kiongozi wao leo.
Niwaambie huo ndio Uhuru wa Mahakama na ndio Utawala wa Sheria kama msingi wa Demokrasia ya kweli chini ya utawala wa CCM na serikali makini inayoongozwa na Rais hodari, jasiri na mwenye uthubutu Mhe Samia Suluhu Hassan.
Katika nchi za kidekta haya tunayoyaona leo Mahakama za Tanzania huko hayapo " alisisitiza Shaka
Shaka Hamdu Shaka
Katibu wa NEC Itikadi & Uenezi
Ziara Katibu Mkuu CCM
16 Septemba, 2021 Lindi.