"Hakuna chama chochote cha siasa chenye wajibu wala haki ya kumuamrisha Rais wa nchi na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama au kutoa shindikizo katika maamuzi ya Rais hususani juu ya muda, wakati na namna ya kuwaona Wananchi ndani ya nchi anayoiongoza. Madai ya kuandika barua na kuchelewa kupata majibu sio kigezo cha kutoa shinikizo kwa Rais.
Shaka Hamdu Shaka
Katibu wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi
Muheza Tanga
13 Juni 2021
Shaka Hamdu Shaka
Katibu wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi
Muheza Tanga
13 Juni 2021