Shaka atoa somo kwa vyama vya siasa nchini

JUMA JUMA

JF-Expert Member
Jan 5, 2013
666
835
"Hakuna chama chochote cha siasa chenye wajibu wala haki ya kumuamrisha Rais wa nchi na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama au kutoa shindikizo katika maamuzi ya Rais hususani juu ya muda, wakati na namna ya kuwaona Wananchi ndani ya nchi anayoiongoza. Madai ya kuandika barua na kuchelewa kupata majibu sio kigezo cha kutoa shinikizo kwa Rais.

Shaka Hamdu Shaka
Katibu wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi
Muheza Tanga
13 Juni 2021

IMG-20210613-WA0038.jpg


IMG-20210613-WA0039.jpg


IMG-20210613-WA0040.jpg


IMG-20210613-WA0041.jpg
 
"Hakuna chama chochote cha siasa chenye wajibu wala haki ya kumuamrisha Rais wa nchi na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama au kutoa shindikizo katika maamuzi ya Rais hususani juu ya muda, wakati na namna ya kuwaona Wananchi ndani ya nchi anayoiongoza. Madai ya kuandika barua na kuchelewa kupata majibu sio kigezo cha kutoa shinikizo kwa Rais.

Shaka Hamdu Shaka
Katibu wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi
Muheza Tanga
13 Juni 2021

View attachment 1817448

View attachment 1817449

View attachment 1817450

View attachment 1817451
We, kawaeleze wenzako hawa mliokaa nao. Haya hayatuhusu. Kumbe unaweza kumtoa mtu shamba lakini kumtoa ushamba kazi kweli kweli
 
5haka usimsukumie mama kwenye siasa za mwendazake.

Mwendazake alitumia nguvu sana kuuzima upinzani akazimika yeye.
 
"Hakuna chama chochote cha siasa chenye wajibu wala haki ya kumuamrisha Rais wa nchi na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama au kutoa shindikizo katika maamuzi ya Rais hususani juu ya muda, wakati na namna ya kuwaona Wananchi ndani ya nchi anayoiongoza. Madai ya kuandika barua na kuchelewa kupata majibu sio kigezo cha kutoa shinikizo kwa Rais.

Shaka Hamdu Shaka
Katibu wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi
Muheza Tanga
13 Juni 2021

View attachment 1817448

View attachment 1817449

View attachment 1817450

View attachment 1817451
Ahangaikie kwanza ndoa yake,mumewe kule Mombasa anamkumbuka sana.
 
Back
Top Bottom