LOGIC MENTALITY
Senior Member
- Mar 19, 2021
- 124
- 86
Haha hapa polepole kidogo hakuwa hiviSifa kuu ya kuwa mwana ccm hasa kiongozi ni kukosa haya na kujitoa fahamu. Pole shaka. Yana mwisho. Hata jiwe na rais wa chuma kweri kweri yalipita. Hamjifunzi tu?
Nadhani wabadili