Amoeba youv said it,sio lazima iwe buku tano halisi nadhani yeye ametumia hiyo kama mfano tu kwa yule ambaye anacho kiasi kidogo kwa kuanzia na sio wale wenzio wanaosemaga ana mil 100 afanye biashara gani?(who knows km kweli anayo mill mia kweli au ni maneno tu?) sasa hali halisi ya kibongo tunaifahamu tulio wengi tusikariri kisa kasema mill 100 ukapiga hesabu ya 100 chukua idea weka kwenye biashara/mazingira yako halafu uone.
Afadhali hata wewe umeliona hili ukafanya ndoto za AMOEBA za kutajirika kwa elfu tano ziwe za kufikirika AKA Hadithi.