Jubest
Member
- Aug 20, 2008
- 19
- 1
mtu akiomba bia mpe bia ukimpa pesa atakuzalau tu hatatosheka na hiyo pesapata picha:
Mtu anakuomba hela ya bia au soda, unampatia tsh 2000/=
alafu huyo huyo uliyempa hela anakwambia "yaani unanipa elfu mbili?? Dharau hiyo!"
wewe unasemaje hapo?
Hapo hajakwambia umpe hela ya kiasi gani!