Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,157
- 2,663
Pata picha:
Mtu anakuomba hela ya bia au soda, unampatia Tsh 2000/=
Alafu huyo huyo uliyempa hela anakwambia "Yaani unanipa elfu mbili?? dharau hiyo!"
Wewe unasemaje hapo?
hapo hajakwambia umpe hela ya kiasi gani!
Mtu anakuomba hela ya bia au soda, unampatia Tsh 2000/=
Alafu huyo huyo uliyempa hela anakwambia "Yaani unanipa elfu mbili?? dharau hiyo!"
Wewe unasemaje hapo?
hapo hajakwambia umpe hela ya kiasi gani!