Wee acha hizo itatumia umeme wa Stiglas Gorge.Treni ya mabetri
Hio ya Yapi wanajaribia reli waliotengenezaHio treni ni model ya kizamani haiwezi fika moro ndani ya saa 1 aisee daah hata zile za kenya zina afadhali
Maendeleo Hayana ChamaHapo chadema wamefura kwa hasira
[/QUOTE]Hilo jikichwa limeletwa Jana na tayari limeanguka huku maeneo ya Gongolamoboto Maliasili..limeanguka toka Jana na mpaka sasa wameashindwa kuliinua...walikua wanalipeleka pugu stesheni..
Tuombe hilo litereni lisije kuanguka nalo katk safari yake yakwanza..
[/QUOTE]Hilo jikichwa limeletwa Jana na tayari limeanguka huku maeneo ya Gongolamoboto Maliasili..limeanguka toka Jana na mpaka sasa wameashindwa kuliinua...walikua wanalipeleka pugu stesheni..
Tuombe hilo litereni lisije kuanguka nalo katk safari yake yakwanza..
[/QUOTE]Bila kapicha kakusindikizia, hii comment yako inakua kama hujaitendea hakiHilo jikichwa limeletwa Jana na tayari limeanguka huku maeneo ya Gongolamoboto Maliasili..limeanguka toka Jana na mpaka sasa wameashindwa kuliinua...walikua wanalipeleka pugu stesheni..
Tuombe hilo litereni lisije kuanguka nalo katk safari yake yakwanza..
...Jana mchana kweupe mkuu na wameshindwa kulinyanyua mpaka ninavyo type hii text bado bichwa lipo chini..limeangukia ubavu pembeni ya reli inayotoka Pugu stesheni kuja Gerezani[QUOTE="Kennedy, post: 31373744, member:
Lini Imetokea