Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,613
- 26,005
Makamanda sasa wamesusa na wanachukia "kuikomboa" nchi, ha ha ha.Tanzania mpya ya viwanda twende na magu #2020
Makamanda sasa wamesusa na wanachukia "kuikomboa" nchi, ha ha ha.Tanzania mpya ya viwanda twende na magu #2020
Kwaio mtu akisema kitu unachohisi ni negative unaona ni chadema..kweli wewe ni jinga la mwishoWhy are you so negative. Hivi watanzania mmekuwa washamba na uncivilized kiasi cha kuwa kwanza mwanachadema kabla ya mtanzania. Ni ugonjwa. Nashangaa kama mpka sasa hamjagundua hii kansa.
Kwa hiyo wamekiangusha makusudi kukitest.
Mnatuletea mavichwa ya treni ya mwaka 47 kichwa kama Tata1. TULIAHIDI
View attachment 1091146
2. TUNATEKELEZA
View attachment 1091147
3. MATARAJIO YA WENGI
View attachment 1091149
Maendeleo hayana chama.
Mnatuletea mavichwa ya KamongoHapo chadema wamefura kwa hasira
Mwishaanza kurukana kudadeki !
Wanajifanya hawahusiki wakati wamewaambia wafanye kazi usiku na mchana kuwahi uchaguzi, bahati nzuri yule mzinduzi wa kila kitu hakwenda kukizundua tungekuwa tunasema mengine sasa.Mwishaanza kurukana kudadeki !
Huyu Jamaa aliyepiga hii Selfie ajiandae kutekwa
Wachawi katika ubora wenuHio treni ni model ya kizamani haiwezi fika moro ndani ya saa 1 aisee daah hata zile za kenya zina afadhali
Hujuma za CHADEMASwali la kujiuliza, Mbona hicho kichwa hakifanani vichwa treni zinazotumia umeme hata ikiwa ya majaribio. Naona ni kama kichwa kilichotelekezwa zamani.
Nafikiri inachotakiwa ni uzito na sio uzuriSwali la kujiuliza, Mbona hicho kichwa hakifanani vichwa treni zinazotumia umeme hata ikiwa ya majaribio. Naona ni kama kichwa kilichotelekezwa zamani.
Kimeangukaje wakati hakina hata matairi?
Majaribio ni pamoja na kuligaragaza chini ili kujua likianguka inakuaje na likigaragara inakuaje. Tupo kwenye lait traki haijawahi kutokea tangu reli ya njerumani ujengwe. TulieniKwa hiyo wamekiangusha makusudi kukitest.
Tukiongozwa na kiongozi wetu wewe hapo..Wachawi katika ubora wenu
doh
Lakini waliotuahidi sio wanaojenga.Mkuu,, soma kwanza kisha uulize,, wenye kichwa hicho ni wajenzi sio TRC
Umeanza kuripoti vizuri lakini ulivoendelea nahisi meko a.k.a jiwe hana hamu huko, maana umetandika viboko. Hilo litrain ni jamii ya locomotive ni model za karne ya 17 hadi 18 .kwanza sura mbaya ka nini.lingewaka moto kabisa1. TULIAHIDI
View attachment 1091146
2. TUNATEKELEZA
View attachment 1091147
3. MATARAJIO YA WENGI
View attachment 1091149
UPDATES: imetokea jana 7/5/2019
View attachment 1092221
Maendeleo hayana chama.