Sex is .............

Da Womanizer

JF-Expert Member
May 24, 2010
1,577
148
Weekend hii nimekaa na kujiuliza maswali kadhaa kuhusu mapenzi (sex). kwa kweli kuna mengi sana yalisemwa, yanasemwa na yataendelea kusemwa kuhusu mukhtadha mzima wa kufanya mapenzi. Leo naomba tujiangalie na tukumbuke historia zetu za kimapenzi halafu tujadili hili suala hapa. Mimi kwa upande wangu baada ya kufikiria kwa kina nimefikia hitimisho kuwa SEX IS OVERRATED.
Je wewe unaonaje?

Angalizo: Kama hujui maana ya "SEX IS OVERRATED", tafadhali usichangie.
 
Sharti limenishinda haya ngoja tusubiri wachangiaji wanaojua maana ya "SEX IS OVERRATED",
 
Marytina umeambiwa kama huelewi maana yake ukae kimya usichangie mama!!!hii ni ya wasomi tu
 
Sex is Overrated maana yake ni kwamba "Jinsia imepewa sana kipaumbele" au "Jinsia inasifiwa sana"
 
haaaaaaaaaaaaaa uwiiiiiiiiiiiiii Dena mbavu zangu!!!!! umeniacha hoi na kunikumbusha mbali sana

enzi zile mwalimu akiingia darasani monitor anapiga kofi moja paaaaaa, alafu nyote mnasimama then mnasema " SIASA YA UBAGUZI WA RANGI NI UNYAMA SHIKAMOOOOOOO MWALIMU"
 
haaaaaaaaaaaaaa uwiiiiiiiiiiiiii Dena mbavu zangu!!!!! umeniacha hoi na kunikumbusha mbali sana

enzi zile mwalimu akiingia darasani monitor anapiga kofi moja paaaaaa, alafu nyote mnasimama then mnasema " SIASA YA UBAGUZI WA RANGI NI UNYAMA SHIKAMOOOOOOO MWALIMU"

Habari ndo hiyo hakuna kuchangia kama kidhungu not reachable
 
Sex is Overrated maana yake ni kwamba "Jinsia imepewa sana kipaumbele" au "Jinsia inasifiwa sana"

sahihisho kidogo"
Siyo jinsia - ni ngono imepewa uzito usiostahili.

Nami kwa kuchangia nitaongezea hivi -
Mtoa hoja, naona unachanganya ngono na mapenzi na huenda ndio over rating yenyewe hii inakoanzia. Unaweza kufanya ngono bila kuwepo mapenzi.Watu huchanganya haya mambo mawili katika kulipa hili tendo uzito usiostahili.Huwa tunasoma au kusikia watu wakisema... afanya mapenzi na mnyama, akamatwa akifanya mapenzi na mtoto mdogo/mchanga ( wakati haya ni matukio ya kihalifu)!

Hata basi pale tendo linapofanywa katika mukhtadha wa ku express mapenzi pia kuna kuongeza chumvi sana katika tendo lenyewe - utasikia watu wakijisifia kupiga mabaoi 10 kwa sekunde nk. Pia kuna kutiliana presha sana katika utendaji.Wanawake hutarajiwa kufanya miujiza ili kuwafurahisha wapenzi wao, na wanaume wenyewe hujitia presha kuhusu ukamilifu wa maumbile yao na kama yatatosheleza wapenzi wao.

The bottomline, kitendo hicho kichukuliwe kama vitendo vingine vya asili alivyopewa binadamu kukidhi kuishi hapa duniani kama kula chakula, kunywa maji, kujikuna unaposikia kuwashwa nk.Sijawahi kusikia watu wakifafanua sana kitendo cha kula na kukipa presha za ajabu zaidi ya kusema chakula kiwe na ladha nzuri, kiandaliwe kwa usafi na salama, kiliwe kwa wakati na mahali muafaka. The same should go for sex!

Ndio mchango wangu mdogo.
 
'People have made sex the only sin whereas in fact it is linked to human weakness and fraility and perhaps, therefore, it is the least of all the sins ! !

Walisema wahenga...
 
sahihisho kidogo"
Siyo jinsia - ni ngono imepewa uzito usiostahili.

Nami kwa kuchangia nitaongezea hivi -
Mtoa hoja, naona unachanganya ngono na mapenzi na huenda ndio over rating yenyewe hii inakoanzia. Unaweza kufanya ngono bila kuwepo mapenzi.Watu huchanganya haya mambo mawili katika kulipa hili tendo uzito usiostahili.Huwa tunasoma au kusikia watu wakisema... afanya mapenzi na mnyama, akamatwa akifanya mapenzi na mtoto mdogo/mchanga ( wakati haya ni matukio ya kihalifu)!

Hata basi pale tendo linapofanywa katika mukhtadha wa ku express mapenzi pia kuna kuongeza chumvi sana katika tendo lenyewe - utasikia watu wakijisifia kupiga mabaoi 10 kwa sekunde nk. Pia kuna kutiliana presha sana katika utendaji.Wanawake hutarajiwa kufanya miujiza ili kuwafurahisha wapenzi wao, na wanaume wenyewe hujitia presha kuhusu ukamilifu wa maumbile yao na kama yatatosheleza wapenzi wao.

The bottomline, kitendo hicho kichukuliwe kama vitendo vingine vya asili alivyopewa binadamu kukidhi kuishi hapa duniani kama kula chakula, kunywa maji, kujikuna unaposikia kuwashwa nk.Sijawahi kusikia watu wakifafanua sana kitendo cha kula na kukipa presha za ajabu zaidi ya kusema chakula kiwe na ladha nzuri, kiandaliwe kwa usafi na salama, kiliwe kwa wakati na mahali muafaka. The same should go for sex!

Ndio mchango wangu mdogo.
Ona hii hapa chini, Hapo ni Mr & Mrs wamekukubali mama.

The Following 2 Users Say Thank You to WomanOfSubstance For This Useful Post:

Da Womanizer (Today), Michelle (Today)
 
Back
Top Bottom