Sethi: Tegeta Escrow namwachia Mungu

Sethi: Tegeta Escrow namwachia Mungu

Seth alizaliwa Iringa akiwa na ndugu zake watatu ambao wote walisoma Highlands secondary school.Kupata little detail alifikaje Kenya nenda global publishers waliandika historia yake
 
Umeona lakini hiyo "know Your Customer" alert ya sethi. Jambazi wa Kenya?

Sethi: Kwa sasa siwezi kuchukua hatua zozote kwa sababu suala hili kwanza bado lipo mahakamani, tunasubiri uamuzi wa mahakama. Mimi naheshimu mahakama ya kila nchi na Tanzania zaidi kwa sababu hii ni nchi yangu.
 
Sethi: Kwa sasa siwezi kuchukua hatua zozote kwa sababu suala hili kwanza bado lipo mahakamani, tunasubiri uamuzi wa mahakama. Mimi naheshimu mahakama ya kila nchi na Tanzania zaidi kwa sababu hii ni nchi yangu.
Na kweli ni nchi yake.
 
Sethi yupo Iringa sasa hivi anajinywea ulanzi wake
 
Sethi: Kwa sasa siwezi kuchukua hatua zozote kwa sababu suala hili kwanza bado lipo mahakamani, tunasubiri uamuzi wa mahakama. Mimi naheshimu mahakama ya kila nchi na Tanzania zaidi kwa sababu hii ni nchi yangu.
Kweli umeshiba "mahaba" na majambazi bado hutaki kukiri kuwa watoa taarifa wa Stanbic hawakuwa na upande wowote wakati wanatahadharisha juu ya huyu jambazi wa goldenberg na sasa Escrow scandal! Mahakama!!???!!!!
 
"Mungu" anatum,ika kama chaka la kuficha maovu.

"Mahakama" pia. We mtu anapiga deal la kununua serikali nzima, pamoja na majaji, halafu mnategemea ahukumiwe kihalali na mahakama?
 
Sethi: Kwa sasa siwezi kuchukua hatua zozote kwa sababu suala hili kwanza bado lipo mahakamani, tunasubiri uamuzi wa mahakama. Mimi naheshimu mahakama ya kila nchi na Tanzania zaidi kwa sababu hii ni nchi yangu.

We muachie Mungu atakutetea ndugu yangu
 
Tatizo la wabunge wetu ni jazba na kuingilia majukumu yasio ya kwao, na hii inaweza kutucost kama nchi. Mtu hawajamuhoji wala hawakumpa muda huo, still bado swala lenyewe liko mahakamani, ah! Yani mambo vagarant! Hebu tusubiri.

Wengi ni mazwazwa hawajui hata waongealo ni watu wa jazba
 
Amini nawaambia Rished Bade,kamishna wa TRA atazaa nae make huyo jamaa yuko serious na kazi yake na hamwogopi mtu kwa kifupi ni mtu mwenye international exposure na amekulia katika private companies which means si mshabiki wala hajui siasa mtakuja niambia labda rais amtoe
 
Kweli umeshiba "mahaba" na majambazi bado hutaki kukiri kuwa watoa taarifa wa Stanbic hawakuwa na upande wowote wakati wanatahadharisha juu ya huyu jambazi wa goldenberg na sasa Escrow scandal! Mahakama!!???!!!!

Napenda uelewe kuwa mpaka sasa sijauona wizi uliofanyika, kuna mambo mengi sana kwenye ripoti ya CAG yako vague na ile ya PAC ndiyo ripoti hovyo kabisa ya kamati ya bunge niliyowahi kuisikia na Mwenyekiti kashindwa kabisa kutetea maazimio yake mpaka akadai kichwa kinamuuma. Imagine!
 
upepo unavuma utapita tu huo litakuja lingine tutasahau wtz sisi ni wstu wa kushabikia tu sio watekelezaji mangapi yamepita tunayajua lkn tupo kimya pole yetu
 
Watu wanagawa pesa...mpaka kwa majaji....watendaji...wabunge walafi na mpaka jumba kuu jeupe na bado wapuuzi wachache wanaona hakuna wizi uliofanyika

Cc faizafoxy
 
Back
Top Bottom