Kama alikuwa hana makosa kwanini amekimbia?Hii ya kutishia kwenda mahakamani,labda kama MAHKAMA za TANZANIA ambazo MAHAKIMU wake wanapokea zawadi toka kwa WATUHUMIWA.Lakini asilogwe akapeleka kesi mahakama za kimataifa vitaibuliwa na vilivyozikwa kwa muda.
Nafuu akubali kuondoka wala asirudi tena.
Pili kama ni MTANZANIA na uchungu na Nchi yake kwanini alifanya UFISADI wa aina hii,na kwanini asiendelee kubaki bongo wote tukawatunaisubiria saga alilolitengeneza?
Ninauhakika wachumia tumbo wote AG,PM,JK,Chenge & Coy ndiyo waliomwambia aondoke na yawezekana alisaidiwa kuondoka ili yakiisha haya arudi.
Ninamtahadharisha asilogwe arudi yaani labda RAIS awe PINDA au MUHONGO